tonnyalmeida
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 226
- 46
Kwenye hilo napenda nikukumbushe kuwa BOTH CWT na SERIKALI walienda MAHAKAMANI. sasa kwanini wakati Mahakama imeomba muda; tena wa Masaa kadhaa CWT wagome? au kwa kuwa LIWALO NA LIWE YA CHANDIMU?
Inakuwaje mahakama inaomba mda tena baada ya kuwa imeshatoa hukumu na cheti kinachoonyesha usuluhishi umeshindikana? Jamani Huu siniuhuni wa wazi? Yani unahukumu halafu kesho unaendelea kusikiliza kesi? kama hukuwa na maelezo ya kutosha kwa nini utoe hukumu?
UHUNI KAMA HUU NDO UNAOUFANYA HUO MHIMILI WA DOLA KUONEKANA HAUNA MAANA NA KUDHARAULIWA NA WANANCHI. HAYA PROVE ME WRONG KWA HILI.