Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
- Thread starter
- #181
Unachekesha Almeida
Unaandika kwa ushabiki
Unaandika kwa ushabiki
1: majibu yako namba 2, 3 4 na 5 Naona umeanza kutoa majibu mepesi kwa Hoja nzito
KAMA UMESHINDWA KUNITHIBITISHIA BEYOND REASONABLE DOUBT BASI HATUNA SABABU YA KUENDELEA KUJADILI.
2: Kwani serikali yako inamuadhibu nanai? kama hulijui hilo fungu kasome biblia hayo sio maneno yangu. Unaruhusiwa kunipa majina yote utakayopenda ila hayabadilishi msimamo wangu.
3: Sijatumia neno serikali yote na wala hujaninukuu, Maslahi binafsi yapo kwa sababu wanatabia ya kugawiana walionavyo ndo mana wanawasahau wenzao wa chini kama wanavyotusahau sisi
4: Kapeleke wewe kwa huyo ****** make unaonekana unanguvu nyingi za kutuandikia watu wa kawaida kumbe kwa ****** Unagwaya? tehtehtehhhhh
Sisi tushamfikishia Ujumbe... Asubiri matokeo.