Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
Kwa kuwa naona Mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?
kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.
Tuheshimu MAHAKAMA
- Madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
- Walimu ----- wamesema hawatoheshimu.
kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.
Tuheshimu MAHAKAMA