Siku hizi vyama vya wafanyakazi vimekuwa haviheshimu mahakama

Makame

JF-Expert Member
Jan 3, 2008
512
60
Kwa kuwa naona Mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?


  1. Madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
  2. Walimu ----- wamesema hawatoheshimu.

kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.

Tuheshimu MAHAKAMA
 
KAMA WEWE SYSTEM UNANUFAIKA NAYO IHESHIMU
KWANI HIYO MAHAKAMA NI YA UPANDE MMJA TU NA IPO KWA MASLAHI YA MAGAMBA
HAKUNA SABABU YA KUHIHESHIMU MAHAKAMA KAMA UNAJUA HAITENDI HAKI
IN PHYSICS WE SAY ``FOR A BODY TO BE IN EQUILIBRIUM CLOCK WISE MOMENT MUST BE EQUAL TO ANT CLOCK WISE MOMENT''
ILA KWA MAHAKAMA ZETU CLOCKWISE MOMENT IS GREATER THAN ANTCLOCKWISE MOMENT hence no balance
 
Kwa kuwa naona Mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?


  1. Madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
  2. Walimu ----- wamesema hawatoheshimu.

kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.

Tuheshimu MAHAKAMA


Unauhakika kama hizo amri za mahakama ni halali? na kama unauhakika zilete hapa hizo amri ili tukuelewe.

Ili kusudi taasisi yoyote ya serikali iheshimiwe ni lazima ijenge CREDIBILITY kwa wananchi na zinapokuwa za kijanjajanja wananchi wanachoka na huo unyanyasaji na ubabe wa hizo mamalaka na itafika hatua watu watakuwa wanagoma bila hata kufuata taratibu na Serikali haitaweza kuwanyamazisha

NI MDA MCHACHE UMEBAKI UTAONA WATANZANIA WAKIJIKOMBOA
 
Unauhakika kama hizo amri za mahakama ni halali? na kama unauhakika zilete hapa hizo amri ili tukuelewe.

Ili kusudi taasisi yoyote ya serikali iheshimiwe ni lazima ijenge CREDIBILITY kwa wananchi na zinapokuwa za kijanjajanja wananchi wanachoka na huo unyanyasaji na ubabe wa hizo mamalaka na itafika hatua watu watakuwa wanagoma bila hata kufuata taratibu na Serikali haitaweza kuwanyamazisha

NI MDA MCHACHE UMEBAKI UTAONA WATANZANIA WAKIJIKOMBOA

Ni kweli hata wazazi wasiojiheshimu hawaheshimiki, hivyo mahakama zinazopendelea serikali hata mkifuata sheria zitaheshimikaje. Nawashauri tuungane kudai haki zetu hata kama mahakama itapinga. Mahakama rudisheni heshima kwa kutoingilia mgomo ili serikali ijue kuwa inatutendea vibaya walimu. Walimu tuache uoga ukombozi wetu uko mikononi mwetu. Mawaziri na manaibu wanatukandamiza na kututishia wana nini zaidi ya ufisadi wanaotetea.

MAHAKAMA ACHENI KUJIKOMBA KWA CCM SIMAMIENI HAKI. VINGINEVYO KILA MTANZANIA ATAWAPUZA MAJAJI NA MAHAKIMU WA TANZANIA. MBONA NCHI ZINGINE WANAGOMA SERIKALI ZINAFIKIA MUAFAKA PASIPO KUKIMBILIA MAHAKAMANI.
 
Kwa kuwa naona Mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?


  1. Madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
  2. Walimu ----- wamesema hawatoheshimu.

kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.

Tuheshimu MAHAKAMA
mbona wewe unajadili mambo yaliyokuwa mahakamani? hujafundishwa na mwalimu nini
 
Unazungumzia vyama vya wafanyakazi!! Itafika kipindi hadi raia watakuwa hawasikilizi amri ya chombo chochote.
 
Wewe MTANYAMALI akili zako ziko sehemu gani?

Kama una hamu ya kuongeza posts; weka zenye maana

niongeze post ya nini? mimi akili zangu zipo kichwani sio kama zako zilizokaa kwenye masaburi, watu tunauchungu tunahitaji haki zetu wewe unasema tuheshimu mahakama wakati unajua ndio kimbilio la serikali siku zote! acha hizo ww
 
ndugu, muhimili huo umejishushia hadhi wenyewe kwa kuwa wala rushwa, wasiotenda haki, na sasa kutumika na serikali kila wanaponaa wamebanwa, ku kumbilia huko na kusingizia jambo liko mahakamani,
 
HATA iWEPO SERIKALI GANI LAZIMA MAHAKAMA ZIWEPO.

LAZIMA MAHAKAMA ZIHESHIMIWE.

MABADILIKO SIO KWA KUASI SHERIA

MABADILIKO YANAWEZA KUPATIKANA NDANI YA SHERIA

WALA MAHAKAMA HUWA HAZIPINDI SHERIA KUIPENDELEA SERIKALI

MAHAKAMA ZINASIMAMIA SHERIA

NA PENYE MTAFARUKU, MAHAKAMA HUTAFUTA SULUHU MUAFAKA.

MBONA MNYIKA ALITAMKWA MSHINDI NA MAHAKAMA?????

WACHA FIKRA MGANO WEWE

niongeze post ya nini? mimi akili zangu zipo kichwani sio kama zako zilizokaa kwenye masaburi, watu tunauchungu tunahitaji haki zetu wewe unasema tuheshimu mahakama wakati unajua ndio kimbilio la serikali siku zote! acha hizo ww
 
Mnyika alitoa Rushwa kushinda Mahakamani????

Wacheni gross generalizations
ndugu, muhimili huo umejishushia hadhi wenyewe kwa kuwa wala rushwa, wasiotenda haki, na sasa kutumika na serikali kila wanaponaa wamebanwa, ku kumbilia huko na kusingizia jambo liko mahakamani,
 
Kwa kuwa naona Mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?


  1. Madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
  2. Walimu ----- wamesema hawatoheshimu.

kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.

Tuheshimu MAHAKAMA
Mtu mzima ovyooo!!!, ni mahakama gani iliyosimamisha mgomo wa walimu? Serikali yenu inafanya kazi kwa mashinikizo badala ya kutatua matatizo! na nyie mnaetumwa kuitetea hamtumii akili kujenga hoja! acheni kutumia makamasi, tumiaeni ubongo kufikri!
 
Kwa kuwa naona Mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?


  1. Madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
  2. Walimu ----- wamesema hawatoheshimu.

kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.

Tuheshimu MAHAKAMA

Mkuu kwanza tujiulize nikwanini upande mmoja tu ndio unakimbilia mahakamani? je hakuna njia mbadala ni mahakama tu?
 
Hiyo itakua sio nchi, itakuwa kichaka cha watu wasio na ustaarab u

Barabarians

Unazungumzia vyama vya wafanyakazi!! Itafika kipindi hadi raia watakuwa hawasikilizi amri ya chombo chochote.
 
Mahakama zilijikomba kwa magwanda kumuangusha mbunge wa ccm kule sumbawanga?

ni kweli hata wazazi wasiojiheshimu hawaheshimiki, hivyo mahakama zinazopendelea serikali hata mkifuata sheria zitaheshimikaje. Nawashauri tuungane kudai haki zetu hata kama mahakama itapinga. Mahakama rudisheni heshima kwa kutoingilia mgomo ili serikali ijue kuwa inatutendea vibaya walimu. Walimu tuache uoga ukombozi wetu uko mikononi mwetu. Mawaziri na manaibu wanatukandamiza na kututishia wana nini zaidi ya ufisadi wanaotetea.

Mahakama acheni kujikomba kwa ccm simamieni haki. Vinginevyo kila mtanzania atawapuza majaji na mahakimu wa tanzania. Mbona nchi zingine wanagoma serikali zinafikia muafaka pasipo kukimbilia mahakamani.
 
KAMA WEWE SYSTEM UNANUFAIKA NAYO IHESHIMU
KWANI HIYO MAHAKAMA NI YA UPANDE MMJA TU NA IPO KWA MASLAHI YA MAGAMBA
HAKUNA SABABU YA KUHIHESHIMU MAHAKAMA KAMA UNAJUA HAITENDI HAKI
IN PHYSICS WE SAY ``FOR A BODY TO BE IN EQUILIBRIUM CLOCK WISE MOMENT MUST BE EQUAL TO ANT CLOCK WISE MOMENT''
ILA KWA MAHAKAMA ZETU CLOCKWISE MOMENT IS GREATER THAN ANTCLOCKWISE MOMENT hence no balance

You mean LEVER?
 
Kama mahakama haina credibility nani mwenye credibility? Mnyika?????
unauhakika kama hizo amri za mahakama ni halali? Na kama unauhakika zilete hapa hizo amri ili tukuelewe.

Ili kusudi taasisi yoyote ya serikali iheshimiwe ni lazima ijenge credibility kwa wananchi na zinapokuwa za kijanjajanja wananchi wanachoka na huo unyanyasaji na ubabe wa hizo mamalaka na itafika hatua watu watakuwa wanagoma bila hata kufuata taratibu na serikali haitaweza kuwanyamazisha

ni mda mchache umebaki utaona watanzania wakijikomboa
 
MAHAKAMA INASIMAMIA HAKI; ikimpa ushindi MNYIKA ndio inakuwa imetenda haki?

KAMA WEWE SYSTEM UNANUFAIKA NAYO IHESHIMU
KWANI HIYO MAHAKAMA NI YA UPANDE MMJA TU NA IPO KWA MASLAHI YA MAGAMBA
HAKUNA SABABU YA KUHIHESHIMU MAHAKAMA KAMA UNAJUA HAITENDI HAKI
IN PHYSICS WE SAY ``FOR A BODY TO BE IN EQUILIBRIUM CLOCK WISE MOMENT MUST BE EQUAL TO ANT CLOCK WISE MOMENT''
ILA KWA MAHAKAMA ZETU CLOCKWISE MOMENT IS GREATER THAN ANTCLOCKWISE MOMENT hence no balance
 
Back
Top Bottom