Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Itakuwaje kwa viiongozi wa serikali wanaoabudu CCM siku CDM ikishika dola.
Wataendelea na tabia hii ya unafiki ya kutosimamia ukweli katika jamii kisa CCM iko madarakani.
Au wataanza unafiki mpya kwa kuabudu CHADEMA ? Kama ni hivyo maendeleo hayatapatikana kwa kuwa mifumo ya unafiki itaendelea ndani ya nchi hii.
Viongozi wa serikali wanatakiwa kusimamia sheria na kanuni katika maeneo ya kazi.
Wataendelea na tabia hii ya unafiki ya kutosimamia ukweli katika jamii kisa CCM iko madarakani.
Au wataanza unafiki mpya kwa kuabudu CHADEMA ? Kama ni hivyo maendeleo hayatapatikana kwa kuwa mifumo ya unafiki itaendelea ndani ya nchi hii.
Viongozi wa serikali wanatakiwa kusimamia sheria na kanuni katika maeneo ya kazi.