klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
sitosahau siku nilobalehe, nakumbuka nilikuwa naangalia mpaka makalio ya vifaranga vya kuku.
Tutubuni zambi zetu wajameni. amen
Tutubuni zambi zetu wajameni. amen
Khaaa! Hii yako ni dhambi ya mauti, hata ukitubu hutasamehewa milele!sitosahau siku nilobalehe, nakumbuka nilikuwa naangalia mpaka makalio ya vifaranga vya kuku.
Tutubuni zambi zetu wajameni. amen
mimi sitasahau siku nilipomkamata panzi wangu kwa shida...nikiwa na miaka 6...nikamfungia kwenye mkebe wa Yolanda...kuja kumfungua baada ya siku 3 nikakuta amekufa....hii kitu sitakaa niisahau...
sitosahau siku nilobalehe, nakumbuka nilikuwa naangalia mpaka makalio ya vifaranga vya kuku.
Tutubuni zambi zetu wajameni. amen
hilo la kiume......mkuuMkuu sweta la kuvaa au lile sweta jingine la watoto wa kiume??
preta unajua mi huwa najiuliza kila siku hivi hawa viumbe kama huyo panzi wenginewo halafu unamuweka kwenye mkebe kwa 3 days bila kumpa chakula unazani hiyo ni haki?.Hebu jalia huyo panzi ni wewe alaf mungu akawa anaviumbe wengine wanauwezo wakukukamata kama ulivyo mkamata panzi alaf akuweke kwenye mkebe utajisikiaje?nazan ulitenda zambi ya kuuwa unatakiwa utubu na wewe