Siku ambayo hutoisahau maishani mwako

selestin john

Member
Jan 20, 2012
67
8
hakuna m2 ambaye hana tukio lililompata ama yeye alikuwa chanzo au au alishuhudia tukio,hebu funguka mjanja
 
Sitosahau Siku ambayo nilijiunga jf. Nakumbuka ilikuwa october, ila mwaka na tarehe nimesahau.
 
Sitasahau siku mbwa wangu kipenzi alipogongwa gari na kukimbia kuja kufia miguuni huku akilia kwa uchungu... Kamwe sitasahau I was 12 yrs by then..
 
Sitosahau siku tulikuo tunaenda field huko Mbozi,tukapata ajali,nilipoteza fahamu kwa masaa kadhaa,nilipozinduka
nikajikuta mazingira niisiyoyajua,watu siwajui,lugha siielewi nikajua nimekufa na ndio nipo kuzimu.
Kumbe tupo kijijini.
 
Sitasahau siku mbwa wangu kipenzi alipogongwa gari na kukimbia kuja kufia miguuni huku akilia kwa uchungu... Kamwe sitasahau I was 12 yrs by then..

umenikumbusha kambwa kangu kalishambuliwa na mbwa kichaa, kakaja kufariki baada ya siku chache kutokana na majeraha. Iliniuma kweli:(
 
umenikumbusha kambwa kangu kalishambuliwa na mbwa kichaa, kakaja kufariki baada ya siku chache kutokana na majeraha. Iliniuma kweli:(

mimi sitasahau siku nilipomkamata panzi wangu kwa shida...nikiwa na miaka 6...nikamfungia kwenye mkebe wa Yolanda...kuja kumfungua baada ya siku 3 nikakuta amekufa....hii kitu sitakaa niisahau...
 
mimi sitasahau siku nilipomkamata panzi wangu kwa shida...nikiwa na miaka 6...nikamfungia kwenye mkebe wa Yolanda...kuja kumfungua baada ya siku 3 nikakuta amekufa....hii kitu sitakaa niisahau...
Lol... Preta!
 
Back
Top Bottom