selestin john
Member
- Jan 20, 2012
- 67
- 8
hakuna m2 ambaye hana tukio lililompata ama yeye alikuwa chanzo au au alishuhudia tukio,hebu funguka mjanja
hakuna m2 ambaye hana tukio lililompata ama yeye alikuwa chanzo au au alishuhudia tukio,hebu funguka mjanja
Sa broda si ungeanza wewe ulete story yako kwanza?....namna hii itakuwa kama unatutega flani!hakuna m2 ambaye hana tukio lililompata ama yeye alikuwa chanzo au au alishuhudia tukio,hebu funguka mjanja
Sitasahau siku niliyozaliwa nikajua nimezaliwa ulaya kumbe nimezaliwa tz iliniuma sana!!
Hata mimi nashangaa...Sa broda si ungeanza wewe ulete story yako kwanza?....namna hii itakuwa kama unatutega flani!
hakuna m2 ambaye hana tukio lililompata ama yeye alikuwa chanzo au au alishuhudia tukio,hebu funguka mjanja
sitasahau siku niliyopoteza sweta.............
Sitasahau siku mbwa wangu kipenzi alipogongwa gari na kukimbia kuja kufia miguuni huku akilia kwa uchungu... Kamwe sitasahau I was 12 yrs by then..
Sitasahau siku mbwa wangu kipenzi alipogongwa gari na kukimbia kuja kufia miguuni huku akilia kwa uchungu... Kamwe sitasahau I was 12 yrs by then..
umenikumbusha kambwa kangu kalishambuliwa na mbwa kichaa, kakaja kufariki baada ya siku chache kutokana na majeraha. Iliniuma kweli
Lol... Preta!mimi sitasahau siku nilipomkamata panzi wangu kwa shida...nikiwa na miaka 6...nikamfungia kwenye mkebe wa Yolanda...kuja kumfungua baada ya siku 3 nikakuta amekufa....hii kitu sitakaa niisahau...
Lol... Preta!