Wewe unafanya kazi Kisutu? Swala hili lipo kwa Pilato sio fresh kulidiskas.
Mkuu watu wanaotaka kukabidhiwa nchi wanaposhindwa kutekeleza ahadi ndogo kama hizi, Je wakipewa nchi ahadi kubwa watatekeleza kweli?..
M' Just saying!
Mambo mengine bwana...............Hey, jamani,tupo kwenye mambo makubwa yanayohusu uhai wa watanzani,nashauri cdm waweke nguvu kubwa kwenye hili kwanza, wawahakikishie watu usalama, then after, habari za nape zitafanyiwa kazi,hebu tuwe na vipaumbele.
Naamini issue ya nape aliyodai chadema wanajifanyia vurugu,ndiyo utekelezaji wake kupitia pilisccm.kwapamoja tuwaunge mkono viongozi wetu na tusiondoe imani kwao naamini kila kitu kitafanyika kama ilivyopangwa.waombaji waombe for cdm,waswaliji wafanye dua pia.
naamini tutashida vita dhidi ya huu uzalimu wa ccm na polis.
long live cdm
yamekugusa!!!!!..........Mambo mengine bwana...............
yamekugusa!!!!!..........
gamaba kama wewe huwezu kunielewa.maana mungu amewaondolea upeo huo.Nashangaa wewe kuona kwamba chadema wanaweza kutuhakikishia usalama wakati wanashindwa kuhakikisha usalama kwenye mikutano yao
Pole sana mamajack..........sio kwamba ukiwa mtandaoni unaishabikia chadema maana yake una akili au upeo kuzidi watu wengine, mimi nashabikia uzalendo. Na mungu akuzidishie upeo zaidi uendele kuelewa mambo na kupembua baya na zurigamaba kama wewe huwezu kunielewa.maana mungu amewaondolea upeo huo.
mzalendo uwe wewe??? wadanganye wezi wenzio.wewe zuri kwa mungu ni baya kwako.hangaika na huo upeo wako wenye utindio wa ubongo.Pole sana mamajack..........sio kwamba ukiwa mtandaoni unaishabikia chadema maana yake una akili au upeo kuzidi watu wengine, mimi nashabikia uzalendo. Na mungu akuzidishie upeo zaidi uendele kuelewa mambo na kupembua baya na zuri
Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.
Ndugu zangu.
si vema kuwataka wanasiasa wetu wachukiane, kisa ni upinzani wao wa kivyama.
sasa watawezaje kupeana mawazo mazuri ya kuijenga nchi yetu kama hawatakua marafiki?
hiyo mbaya mbaya sana
Siasa sio uadui
Ndugu zangu.
si vema kuwataka wanasiasa wetu wachukiane, kisa ni upinzani wao wa kivyama.
sasa watawezaje kupeana mawazo mazuri ya kuijenga nchi yetu kama hawatakua marafiki?