...sio kuwa napanga kila kitu mpendwa. angalia nilivyowajibu wengine kuna majibiu unayohitaji.
ubarikiwe sana
...It is more like this
anyway, inaelekea Miss Judith anatokea kwenye familia ambayo "mama ana sauti kuliko mzee!"...
Inakubalika lakini, aka "powerful women!"
ondoa wasiwasi mpendwa, ananipenda sana tena sana na namshukuru Mungu daima mchana na usiku kwa ajili yake!!
Miss Judith, take it easy. Sisi tunakupa ndogo ndogo tu. It is your life!
Tunajuana kwa pen names tu humu. In real life labda tunaweza kuchukuliana kwa mtizamo tofauti.
Binafsi na admire ulivyo committed kwenye mipangilio ya maisha yako. Keep it up...!
Mwenyezi Mungu akutangulie, nawe umtegemee kwa kila jambo.
Wish you the best.
MKuu,
Judith ni kamanda fulani vile, we ushaelewa.
Ngoja nikupe taswira anavyofanania, japokuwa ana nafasi ya kujirekebisha(ana siku30 tu za kujirekebisha)
:
Hehehehehe....the lady is incharge...labda mwenzie ndivyo anavyopenda!!!Embu mwacheni akifanikiwa na sie tuige mfano wake maana kusubiri mpaka mwanaume aseme kunafanya wengine wazeeke bila ndoa ambazo wangekua na ujasiri wa kuonyesha wanataka wangeshazipata!
ondoa wasiwasi mpendwa, ananipenda sana tena sana na namshukuru Mungu daima mchana na usiku kwa ajili yake!!
Mi ninachojiuliza ni kwamba, hiyo June mosi taarifa itakayo fika kwa kijana itakuwa NINAKUTAARIFU RASMI KWAMBA NIMEKUTEUA KUWA . . . .au itakuwa NIMEKUKUBALIA OMBI LAKO LA KUNICHUMBIA . . ????
hongera kwa uamuzi uliofikia...
i think you have to work on your tabia,
you come across as arogant at times i mean kiburi kny post zako kinasomeka...
mwanamke ukifika kwa mumeo,ukajinyenyekeze ukajishushe regardless status yako kipesa/kikazi na kisomo pia...
jifunze kudistinguish being confident and being jeuri!
kila la kheri.:bange:
Ingekuwa nakujua kwa sura Miss Judith, basi ningeomba niitembelee couple yenu baada ya kuwa mmeishi kwa miaka 3(if at all you might be together at that much period of time!)...
Kwa hakika , hata nikikaa na couple yenu kwa dakika 10 zitatosha kujua kinacho...kati yenu.
Hata kama mtakuwa silent kwa dakika hizo!