Ni kwa mjibu wa gazeti la Jambo Leo likifanya uchambuzi wa siku 265 tangu nguri huyo wa siasa aondoke ndani ya CCM
Ndani linaeleza ujio wake ulivyosababisha CUF kufufuka bara na kujizolea majimbo
Linaeleza ujio wake ulivyosababisha CHADEMA kuipa kipigo kitakatifu mikoa ya kaskazini
Linaeleza ujio wake ulivyosababisha majiji yote isipokuwa Mwanza yalivyoangukia UKAWA
Ndani linaeleza ujio wake ulivyosababisha CUF kufufuka bara na kujizolea majimbo
Linaeleza ujio wake ulivyosababisha CHADEMA kuipa kipigo kitakatifu mikoa ya kaskazini
Linaeleza ujio wake ulivyosababisha majiji yote isipokuwa Mwanza yalivyoangukia UKAWA