Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
- Thread starter
- #21
Hawa ndio The Jets (1972), ambao baadae walikuja kuwa STC Jazz, ambayo ndio chanzo cha Biashara Jazz. Waliopo hapa wa kwanza Belino, Raphael Sabuni, Mgoro katika moja ya maonyesho yao. Marijanio Rajab alijiunga na kundi hili, na kuimba wimbo kama....GEORGINA...ulotungwa na HURUKA UVURUGE