abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Sikiliza mahojiano Kati ya Sheikh Faridi na Muandishi wa Sauti ya Ugerumani Bi Salma Saidi
Bonyeza
http://www.mzalendo.net/wp-content/uploads/2012/10/SHEIKH-FARID-HADI-AHMED.mp3
Badilisha kichwa cha habari. Mtu aliyeamua kujificha, huwa anaachiwa? Andika, 'Mahojiano kati ya Mfitini Fareed na mwandishi wa habari baada ya kurejea toka alikojificha'.
Naona CHADEMA mnalishana sumu ya ujinga kama kawaida yenu! Haya endeleeni!
Acha kuleta habari za uongo, tupe Chanzo.
Nimemsikia vizuri kabisa. Naona hili la Zanzibar kutengana haliepukiki. Tutengane kwa amani. Huku bara watanganyika tushikamane.
mtu km huyu ukibishana nae unaonekana akili zenu zinafanana, hajui hata kulinganisha mambo, AKILI NDOGONaona CHADEMA mnalishana sumu ya ujinga kama kawaida yenu! Haya endeleeni!