Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mmojawapo wa watu tuliofanya interview huko wilaya ya Iramba na walidai kuwa wangetujulisha baada ya wiki moja kupita. Naona wiki imepita na bado kimya, kama kuna mtu ana taarifa zozote naomba anijuze basi.
Asante mkuu kwa taarifa, ngoja niendeleze mashambulizi ya kumtafuta ''mdudu'' ajira anayesumbuwa vichwa vya vijana wengi nchini.pole mkuu bahati mbaya nadhani umekosa, dada yangu kapewa hiyo kazi km nafasi ilikuwa moja, alipigiwa majuzi.