Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Leo tunamkumbuka mwl. Jk nyerere baba wa Taifa letu, kijana huyu wa kizanaki aliukwaa uwaziri mkuu akiwa na miaka 36 na urais mwaka mmoja baadaye. NISIMWELEZEE SANA KWANI NAAMIN ANAJULIKA VEMA, lakujiulza ni kwel bado tunamuenzi Nyerere? Naona tumekuwa tukitumia hotuba zake tu na sio kufanya aliyoyapenda.