Sijui

vivian

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
1,749
1,000
Katika kipima joto cha ITV kuna aina tatu za majibu
1. NDIYO
2. HAPANA
3. SIJUI.

Mfano wa Swali.

-----Ongezeko la watoto wa mitaaani jijini Dar es Salaam, Je serikali ilaumiwe?---------

Hapa utakuta mtu anachukua simu na kumwaga jibu no. 3 SIJUI.

Napenda kujua kama hii ni jamii ya watu wa karne hii au ni watu wa aina Gani?

sasa kama mtu hajui kwanini anajibu wakati sio lazima.
 
Mimi nimewahi kuuliza watu kama wawili bado nao wakaosa majibu, huenda kuna uchakachuaji unaendelea hapa siamini kama hili linawezekana kutokea tena kila siku.
 
Mimi nimewahi kuuliza watu kama wawili bado nao wakaosa majibu, huenda kuna uchakachuaji unaendelea hapa siamini kama hili linawezekana kutokea tena kila siku.

Hili swali kwangu ni sawa na lile la kuipa CCM mamlaka ya NCHI hii 2010
 
Katika kipima joto cha ITV kuna aina tatu za majibu
1. NDIYO
2. HAPANA
3. SIJUI.

Mfano wa Swali.

-----Ongezeko la watoto wa mitaaani jijini Dar es Salaam, Je serikali ilaumiwe?---------

Hapa utakuta mtu anachukua simu na kumwaga jibu no. 3 SIJUI.

Napenda kujua kama hii ni jamii ya watu wa karne hii au ni watu wa aina Gani?

sasa kama mtu hajui kwanini anajibu wakati sio lazima.

wewe unashangaa hao, mbona JK alisema 'SIJUI KWA NINI' tz ni masikini.
if rais wa nchi anatoa jibu la SIJUI kwa swali la kwa nini TZ ni masikini mama yangu wa Cbaburuma Songea atajibu nini kama sio SIJUI 100times
 
Katika kipima joto cha ITV kuna aina tatu za majibu
1. NDIYO
2. HAPANA
3. SIJUI.

Mfano wa Swali.

-----Ongezeko la watoto wa mitaaani jijini Dar es Salaam, Je serikali ilaumiwe?---------

Hapa utakuta mtu anachukua simu na kumwaga jibu no. 3 SIJUI.

Napenda kujua kama hii ni jamii ya watu wa karne hii au ni watu wa aina Gani?

sasa kama mtu hajui kwanini anajibu wakati sio lazima.

Hahahahaaaaaaaaaaa! Ukiwawaza sana watanzania utajifia kwa BP na mawazo uiache famila yako ikiteseka bureee. Tena mtu mkubwa na familia yake, kama bado hajaileta duniani basi anatemebea nayo. Ni ujinga ulopitiliza viwango.
 
Yaani hakuna kichefuchefu km hiko kipindi..... Kwanza maswali hayana standards za kupima kitu husika. Nimefurahi umetoa a right sample question km wanayotoaga.... Na sidhani km kuna mtu anatumaga / respond to those questions. Na km wapo they are insane km wanaandaji wa hiko kipindi ITV.
 
Mamito hayo majibu wanapika wenyewe ITV,sidhani katika mihangaiko ya siku hizi mtu atapoteza muda wake kutuma majibu hasa hasa hayo ya 'SIJUI' hahaha! mwaka jana nilitaka kuchunguza kidogo sasa kila naye kutana nae ninayemfahamu namuuliza kama kawahi kutuma jibu kipimajoto na zaidi ya 65 wakajibu hapana na hawamfamu mtu aliyetuma.

Mzima lakini ?
 
Katika kipima joto cha ITV kuna aina tatu za majibu
1. NDIYO
2. HAPANA
3. SIJUI.

Mfano wa Swali.

-----Ongezeko la watoto wa mitaaani jijini Dar es Salaam, Je serikali ilaumiwe?---------

Hapa utakuta mtu anachukua simu na kumwaga jibu no. 3 SIJUI.

Napenda kujua kama hii ni jamii ya watu wa karne hii au ni watu wa aina Gani?

sasa kama mtu hajui kwanini anajibu wakati sio lazima.

Sijui....
 
Ukitizama vyema utaona kuna mapungufu kwenye maswali ya kipima joto...wanauliza leading questions...nadhani ndio maana watu wengine wanaamua kujibu sijui....
 
Kuna wakati nahisi huwa wanapika matokeo yale, maana haiingii akilini swali ambalo liko wazi na jibu ni ndio au hapana mtu mwenye akili timamu akajibu sijui....
 
Ukitizama vyema utaona kuna mapungufu kwenye maswali ya kipima joto...wanauliza leading questions...nadhani ndio maana watu wengine wanaamua kujibu sijui....

maswali yao mengi wanayouliza yakijibiwa na only rational people they will all give the same answer
 
Mamito hayo majibu wanapika wenyewe ITV,sidhani katika mihangaiko ya siku hizi mtu atapoteza muda wake kutuma majibu hasa hasa hayo ya 'SIJUI' hahaha! mwaka jana nilitaka kuchunguza kidogo sasa kila naye kutana nae ninayemfahamu namuuliza kama kawahi kutuma jibu kipimajoto na zaidi ya 65 wakajibu hapana na hawamfamu mtu aliyetuma.

Mzima lakini ?

Dadiito hata mimi sijawahi kusikia any person I know ameshiriki hicho kipima joto.
 
maswali yao mengi wanayouliza yakijibiwa na only rational people they will all give the same answer

The way wanauliza maswali yao inashangaza sana....ni kama wauliza watoto wa chekechea...sijawahi elewa nini huwa wanataka kujua toka kwa watazamaji wao...labda idadi ya vichaa wanaotizama ITV
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom