Walivyokaa ni kama kuna jamaa walikuwa wanamsikiliza akimwaga pumba za kuwadissapoint. Hii itakuwa kabla ya uhuru na possibly walikuwa wakiwasikiliza wakoloni wakiwachimba biti.
ah, usijiulize wanawaza nini, wanawaza kuhusu nchi ilivyokuwa na potential ya mafisadi kuitafuna nchi hii.
Si unaona sasa. Wanaumia sana huko waliko
Kaunda enzi zake nini? Sina hakika! Kama ni yeye uhuru wa zambia ulikuwa mbaliiiiii!