hahaha ama ndio nini?
tulioverlook... tarakea ulipitia marangu mtoni au??
Ama ndio ushapenda... na hivi fulani yuko jela......hahahahahaha
Usinikumbushe kaka kilikuwa kijiwe changu pale hasa kwa Klara,mambo ya bia na Kitimoto,Hivi unamfahamu Abby ,yule aliyekuwa akitapeli wazungu kwa kisingizio cha kuwapandisha mlima...
no no sijapenda bado.. Namuwaza mume wangu jaman.. Umefurahi alivyoekwa kizuizini
Kwa muda mrefu Sredi hii ilivyokaa online , ndivyo MGONJWA mleta mada utakavyo'delay kupona, ugonjwa unaokusumbua!
Naunga mkona hoja!
Kwa muda mrefu Sredi hii ilivyokaa online , ndivyo MGONJWA mleta mada utakavyo'delay kupona, ugonjwa unaokusumbua!
Naunga mkona hoja!
Nambie Mwanasheria, Madame hajambo?
Nambie Mwanasheria, Madame hajambo?
Mimi hapa,
nimejaa tele ndani ya khanga Moko.