zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Hahahahahahahahahaha,punguza hasila basi si mpaka nikichoka ndio utajua..
Checkup huwa nafanya turiani..
Checkup ya Tv ya asili huwa naenda kuzimu..na sumbawanga...
Kumbuka menyu tu....
Hahahahahahahahahaha,punguza hasila basi si mpaka nikichoka ndio utajua..
Na hivi mumeo kanitisha wacha niongeze kasi..mwaka huu hauishi..ntakukamata tu...
Checkup huwa nafanya turiani..
Checkup ya Tv ya asili huwa naenda kuzimu..na sumbawanga...
Kumbuka menyu tu....
Na hivi mumeo kanitisha wacha niongeze kasi..mwaka huu hauishi..ntakukamata tu...
Usijari Ongeza spidi tu...uwe unakumbuka na chemical change ,physical change...nikikibadlsha ki dudu chako kuwa Uzi...itajua ni C/p change.
thats my hubby yupo tayari kutetea ndoa yake. Me penda wewe
Ananichezea hanijui huyo ma wifè...
haswaaaaa mke mdogo ndiye mimi!! una lingine nikujuze??
sisi hutuwezi tumejizatiti hatuyumbishwi
Ya kweli hayo,nimekwambia mwaka hauishi huu..
tumeruka viunzi vingi tutashindwaje na hili?
Kwa kuanzia tu nawapeni hongera kwa kuruka viunzi na nawaomba muendelee kuwa na msimamo huohuo mpaka pale........
Enheeee,hapo ndo patamu sasa hebu njoo huku nikunong`oneze zubedayo_mchuzi asisikie