MATESLAA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,246
- 74
Ndugu zangu naomba usauri wenu ,,, nini ni mwanafunzi wa chuo.nilikuwa na nchumba wangu wa kidato cha 6,,alikuwa akinidharau sana,matusi sana,na alikuwa hakiniwekea masharti wakati wa kula tunda,,sasa amemaliza kidato cha 6 na amepata 0 aninilazimisha turudiane wakati ni na chombo cha chuo nafanyeje wana jm