Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
kumbe kuzaliwa mweusi raha ee!!weeee mwanaume weusi bwana mweupe wa nini hao hao
kumbe kuzaliwa mweusi raha ee!!weeee mwanaume weusi bwana mweupe wa nini hao hao
"Miafrika ndivyo ..." NN.
hadi nimewaweka kwenye screen saver yangu wananipa raha hapa we acha tuSmile wewe m-pinpoint unaetaka, mtangaze, PM itafuata kutoka kwake, usiwe na hofu
we ni yupi dia hapo nitangaze niakumbe kuzaliwa mweusi raha ee!!
heheheeee natumaini na wewe utachangamkia
hao not too vijana ndo wazuri, weshamaliza mahangaiko ya uvulana!!
Hehehe mie kwangu wako nje ya viwango
Ila Smile afanye faster achukue not too kijana mmoja
Kibonge flani hivi nipo hapo kat karibu na Max!!we ni yupi dia hapo nitangaze nia
Lofty standards eeh?
mmmmh kweli unalipaKibonge flani hivi nipo hapo kat karibu na Max!!
We unadhani vipi kwani?
Hehehe mie kwangu wako nje ya viwango
Ila Smile afanye faster achukue not too kijana mmoja
huyo kaka mbele ya mbele ya Max..smile lake tu)
aaah belinda taratibu tusionane wabaya loh?huyo kaka mbele ya mbele ya Max..smile lake tu)
aaah belinda taratibu tusionane wabaya loh?
Honestly, dunno but I think its the case. Right on or off the mark?
Hehehe tuseme right on for this one though I'm not sure if our definition of lofty standards match