Sijui,labda wewe. . . . . .

sasa kumbe jibu unalo sasa kwanini tunaumiza vichwa kwa kitu ambacho we cant even think the answer? majibu kila mtu anatoa kulingana na uwezo wake wa kupambanua mambo so sisi hatuja meet your criteria which ma self i like that but tell us the answer. hatufanyi UE kumbuka

Sijasema najua au nina majibu.Ninachokataa ni majibu mepesi yasiyojitosheleza!
 
Back
Top Bottom