Sijui,labda wewe. . . . . .

gfsonwin unanichanganya.Tumeumbwa ili tuuthibitishe uungu wa Mungu?So Mungu anahitaji tufanye hilo?Haya tunayofanya tunapoteza muda bure?

Hilo ndilo kusudi la Mungu ma lito bro. labda nikwambie hebu tafakari yote unayoyatenda kila siku ni nani anayefanya yawe? mfano mimi ni mwl nifundishapo nafanya kazi yangu na mwanafunzi anayesoma hufanya kazi yake lakin mwisho ili yule aelewe haitaangalia nimetumia mbinu gani bali itategemea Mungu alikusudia nini katika somo hilo kwa siku hiyo. kwani sijawah hata siku moja kuingia kwenye akili y mwanafunzi kuweka maarifa lkn Mungu ndiye afanyaye hayo.

jiulize ng'ombe anayesubiri kuliwa anamshukuru Mungu kwa lipi? na je mtu anayekula ama kunywa maziwa haya ya mgome anamshukuru Mungu kwa lipi? au je sisimizi ambaye hata wewe pengine humuoni anamshukuru Mngu kwa nini iwapo hata unapokanyaga waweza kumkanyaga na kumuua? ila wewe si sisimizi wala si ng'ombe wala si kuku wewe ni mtawala wa vyote hivi na si kwamba ulichagua kuwamtawala bali Mungu ndiye aliyekuchagua.

kumbuka kwa jinsi Mungu alivyokuthamini aliaona si bora uangamie akamtoa mwane awe dhabihu yake kwako ili kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
 
yaani ukiwaza is like no enough reasons
mmh!

So your with me on this!
\
duh!

ma sweet lito brothers stop contradicting yourselves go back into holy scriptures and read you will get answers from there. Yaani iko hivi mamb ya rhoni yajulikana sana kwa namna ya rohoni. Na paulo aliwah kusema nakushukuru sana Mungu kwamba mambo haya uliwaficha watu wazima, wenye busara akili na ukawafunulia watoto wadogo. thats all i can tell ma dearest brothers.
 
Wewe ni thinker mkubwa. Suala lako linatufanya tufikiri ni nini maana ya maisha? Maisha mazuri ni yapi? Baada ya maisha kuna nini? -utagundua kuwa maisha yetu wote, yamejaa worries, kama swali lako lilivyojaa hofu na linavyotia hofu. Tunaishi maisha yetu yote tukiitafuta furaha-yet hatujui furaha ni ipi, tunaipataje furaha, na furaha kuu ni ipi. Kuna jamaa yangu mganda alifapata ugonjwa wa pua, akafanyiwa upasuaji, lkn upasuaji, kwa maelezo yake, ulifanywa na ill-trained surgeon. Akapata complications, na hata ubongo ukaacha kufanya kazi. Inasemekana alikaa takriban wiki mbili akiwa hajitambui. Kwa mtizamo wake, anadhani ile hali ya kutokujitambua aliyokuwemo, yaani, kufa nusu, ndiyo hali ya amani kuliko zote alizowahi kuwemo- maana alikuwa hajijui. Kwa hivyo anaamini 'kifo' ndiyo furaha na uhuru unaoshinda vyote.

Kutokana na ulichoandika hapa nakushauri ubadili hiyo ID yako,we sio hovyo kabisa!
 
gfsonwin kama Mungu ndie anaefanya yote kwenye maisha yangu yatoke na yawe kama yalivyo,kwanini niadhibiwe kwayo?Kama Mungu anahitaji kutukuzwa,huyo amepoteza sifa za kuwa Mungu,Mungu ninayemjua hana hitaji lolote,amejitosheleza.Yeyote anaehitaji hawezi kuwa Mungu,sababu hii haina mashiko!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin kama Mungu ndie anaefanya yote kwenye maisha yangu yatoke na yawe kama yalivyo,kwanini niadhibiwe kwayo?Kama Mungu anahitaji kutukuzwa,huyo amepoteza sifa za kuwa Mungu,Mungu ninayemjua hana hitaji lolote,amejitosheleza.Yeyote anaehitaji hawezi kuwa Mungu,sababu hii haina mashiko!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin kama Mungu ndie anaefanya yote kwenye maisha yangu yatoke na yawe kama yalivyo,kwanini niadhibiwe kwayo?Kama Mungu anahitaji kutukuzwa,huyo amepoteza sifa za kuwa Mungu,Mungu ninayemjua hana hitaji lolote,amejitosheleza.Yeyote anaehitaji hawezi kuwa Mungu,sababu hii haina mashiko!
Eiyer mdogo wangu umesahau kwamba Mungu alisema yeye anapenda kutukuzwa na ana kaa katika sifa? kweli kajitosheleza kwa kila kitu na ndio maana alijitambulisha kama Munu mwenye wivu mwingi wa huruma na rehema. wivu kwake upo hata unapotoa utukufu na kumpatia mwingine. Huwa anataka asubuhi uamkapo useme nakushukuru Munu kwamba wewe peke yako ndiye uliyenilaza na kuniamsha na wala usije ukautoa utukufu wake na kumpa mwingine.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer mdogo wangu umesahau kwamba Mungu alisema yeye anapenda kutukuzwa na ana kaa katika sifa? kweli kajitosheleza kwa kila kitu na ndio maana alijitambulisha kama Munu mwenye wivu mwingi wa huruma na rehema. wivu kwake upo hata unapotoa utukufu na kumpatia mwingine. Huwa anataka asubuhi uamkapo useme nakushukuru Munu kwamba wewe peke yako ndiye uliyenilaza na kuniamsha na wala usije ukautoa utukufu wake na kumpa mwingine.

Inawezekana Mungu unaemjua wewe ni tofauti na ninaemjua mimi.Kuhitaji kutukuzwa ni aina ya maradhi ya akili na mara nyingi wanakuwa nayo madikteta,ndo maana wanaua watu wakiwalazimisha wawatukuze.Mungu hawezi kuwa na sifa hii!
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana Mungu unaemjua wewe ni tofauti na ninaemjua mimi.Kuhitaji kutukuzwa ni aina ya maradhi ya akili na mara nyingi wanakuwa nayo madikteta,ndo maana wanaua watu wakiwalazimisha wawatukuze.Mungu hawezi kuwa na sifa hii!

jamani do you read bible oftenly? sasa naomba ni quote mistari na vifungu vya biblia ili uelewe kwanza usimchanganye Mungu wala kumfananisha na wanadamu kabisa manake yeye alishasema hakuna wa kufananishwa naye na pia alishasema kupitia kinywa cha mfalme daudi kwamba yeye n wa kuheshimiwa sana barazani pa wenye mizaha. hivi usemapo maneno kama haya 'Ee Bwana nitakutukuza kwa maana umeniinua na kuwafurahisha adui zangu juu yangu zab 30:1" neno nitakutukuza linamaana gani? je tusemapo maneno haya tena " Mpeni bwana utukufu na nguvu......zab 29:1' huwa tunamaanisha kwamba bwana hana utukufu? haina maana hiyo bali ina maanisha kwamba tusiutwae utukufu wake kwa kitu kingine chochote.

sikiliza tena maneno yaliyotoka katika kinywa cha Mungu mwenyewe ".......BWANA Mungu mingi wa huruma,mwenye fadhili,si mwepesi wa hasiramwingi wa rehema na kweli, mwenye kuwaonea huruma watu elfu elfu mwenye kusamehe uovu na makosa na dhambi wala si mwenye kumhesabia mtu movu kuwa hana hatia kamwe, mwenye kuwapatiliza watoto uovu wa baba zaona wana wa wana wao pia hata kizazi cha tatu na cha nne.........kut 34:6-7" je wafikir hapa Mungu ali maanisha nini? mi wazi kwamba alinyesha uungu na ukuu wake lakin pia ingawa amevionyesha ametikanya kuwa anao wivu so tusiutwae utukufu wake na kumpatia mtu mwingine yeyote.
 
Mambo ya kuzaliwa na kufa kufa haya si mazuri kuyafikiria sana. Cha msingi tenda mema ili ukiRIP ukauonje ufalme wa mbinguni (kama upo kweli)
 
Mambo ya kuzaliwa na kufa kufa haya si mazuri kuyafikiria sana. Cha msingi tenda mema ili ukiRIP ukauonje ufalme wa mbinguni (kama upo kweli)
cate hivi wafikiri kuaza haya ni vibaya na si kukupa wewe changamoto ya kwanini ukawepo duniani? nafkiri ni swali ambalo kila mmoj wetu anapaswa kulifikira kwa umakini sana na isiwe eti ni kwasababu utakufa nbali iwe ni kwasababu unataka kupafanya dunian mahali pazuri pa kuish wewe na vizazi vijavyo
 
Last edited by a moderator:
Nimezaliwa,nikafikisha umri wa kwenda shule,nikaenda.Nimesoma mpaka hukoooo nimemaliza,nimekuja sijui nimejiajiri au nimeajiriwa. . . . . . . . . . . . . . . . . . . Nimeoa na nimepata watoto nao nimewasomesha kisha nao wamejitegemea,nimezeeka,kisha huyooo nauona mwili unashindwa baadhi ya mambo.Kisha narudishwa mavumbini,nimekufa.Safari ya maisha imeishia hapo,nimeondoka duniani. . . . . . . . . . . . . . . , . . . . . . . Hivi hayo ndo yalisababisha nizaliwe au kuna kingine?Yani hivyo tu?Sidhani,sijui ni kwanini lakini nahisi kuna kitu kimepungua.Yaani nayaona hayo kama mambo madogo sana kusababisha mtu kuzaliwa.My be nimejipotosha,wewe je unaridhika?

madogo comperative to what???
 
gfsonwin usichanganye mambo.Daudi anaposema mpeni Mungu utukufu,hayo ni maneno ya Daudi.Mimi tatizo langu ni uliposema kuwa Mungu ANAHITAJI kutukuzwa na uhitaji ni tabia ya kibinadamu ndo maana nikakuambia Mungu hawezi kuwa na tabia hiyo.Mungu kuwa wa rehema,upole n.k hamaanishi kuwa anahitaji sisi kuthibitisha hayo,yapo na ataendelea kuwa hivyo.Daudi aliuona ukuu wa Mungu ndo maana akamwimbia na akawaagiza wengine wamwimbie,siyo kwamba Mungu ANAHITAJI bali tunapofanya hayo ni kwa faida yetu,hata tukiacha haimpunguzii chochote Mungu,wala tukimsifu haimwongezei chochote.Hayo ni kwa faida yetu sio UHITAJI wa Mungu!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin usichanganye mambo.Daudi anaposema mpeni Mungu utukufu,hayo ni maneno ya Daudi.Mimi tatizo langu ni uliposema kuwa Mungu ANAHITAJI kutukuzwa na uhitaji ni tabia ya kibinadamu ndo maana nikakuambia Mungu hawezi kuwa na tabia hiyo.Mungu kuwa wa rehema,upole n.k hamaanishi kuwa anahitaji sisi kuthibitisha hayo,yapo na ataendelea kuwa hivyo.Daudi aliuona ukuu wa Mungu ndo maana akamwimbia na akawaagiza wengine wamwimbie,siyo kwamba Mungu ANAHITAJI bali tunapofanya hayo ni kwa faida yetu,hata tukiacha haimpunguzii chochote Mungu,wala tukimsifu haimwongezei chochote.Hayo ni kwa faida yetu sio UHITAJI wa Mungu!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin usichanganye mambo.Daudi anaposema mpeni Mungu utukufu,hayo ni maneno ya Daudi.Mimi tatizo langu ni uliposema kuwa Mungu ANAHITAJI kutukuzwa na uhitaji ni tabia ya kibinadamu ndo maana nikakuambia Mungu hawezi kuwa na tabia hiyo.Mungu kuwa wa rehema,upole n.k hamaanishi kuwa anahitaji sisi kuthibitisha hayo,yapo na ataendelea kuwa hivyo.Daudi aliuona ukuu wa Mungu ndo maana akamwimbia na akawaagiza wengine wamwimbie,siyo kwamba Mungu ANAHITAJI bali tunapofanya hayo ni kwa faida yetu,hata tukiacha haimpunguzii chochote Mungu,wala tukimsifu haimwongezei chochote.Hayo ni kwa faida yetu sio UHITAJI wa Mungu!
Eiyer kwanza kumbuka kwamba Mungu habadiliki milele na pia hata patokee kitu gani dunian hakimbadilisha yeye. kwa kulijua hili alishasema sifa zake kama nilivyokuonyesha hpo juu. na ndio maana akamalizia kwamba yeye ni Mungu mwenye wivu. ndio maana katika post zangu zilizotangulia nilisema maneno haya kwamba Mungu amajitosheleza kwakila kitu ila kweeetu sisi anachohitaj ni kumtukuza kwamba yeye ni Mungu na tuutambue kwamba ni mkuu and thats it.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin nimekuambia hakuna Mungu anachohitaji kwa mwanadamu.Akihitati anakua sio Mungu,uhitaji sio sifa ya Mungu ni sifa ya binadamu,acha kumfananisha na kumpa Mungu sifa za kibinadamu.Kumwabudu Mungu ni hitaji la mwanadamu sio Mungu.Kumwabudu Mungu ni hitaji la mwanadamu sio Mungu,Mungu hahitaji chochote kutoka kwa mwadamu!
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom