Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Kwa hiyo JK anasikiliza majungu? kwa nini asiwe na msimamo wake yeye kama Rais?
Muungwana hakai ofisini hivyo hajuai utendaji wa hawa Mawaziri,zaidi ya kujua mchango wao katika chama,hasa katika mambo yanayohusu pesa!@