Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Ndugu wana jf yani nimeamka mwili na akili vyote vimekwenda likizo! Yani siku naiona ipo kinyume sijui ni kwanini? Nikicheki waleti imejaa pesa,pombe simtumia,bangi simtiaji, Mademu simtumia lakini ukinipa nakula na nikila utadata....
Hivi ni kwa nini kunasiku unaamka mwili na akili havitaki ushirikiano?
Hivi ni kwa nini kunasiku unaamka mwili na akili havitaki ushirikiano?