NASS_BZ
Member
- Feb 27, 2011
- 11
- 2
Jamani uplayer mmbaya. Nishaplay sana na i had no pain to any woman hata anifanyeje. But sasa kuna mdada huyo duh! Tukikwaza tu kidogo ka moyo kananiuma. Yaani nampenda mwanzo mwisho ile sijawah kupenda na sijawaza hata msichana mwingine. Hivi hii hali ya kawaida kweli?