Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,654
Ndug wanabod nafikiri kama ni mara yako ya kwanza kuingia humu hutaelewa namanisha nini ninaposema sikuwah kunyongwa tena jf ni zaid ya uijuavyo ahsanten sana kwani sasa hivi niko huru. niko huru kwa sababu kipind cha nyuma nilikuwa nanyongwa na mtu ambaye simuon. nikaja kuomba ushaur hapa na hatimaye ile hali ilikoma usiulize nimefanyaje!