tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,122
- 534
Wapi imekatazwa kwenye dini?piga nyeto kijana.Khaa Tena huko so ntakuwa nimepotea kabisa? Sitakuwa tofauti na aliye fanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi imekatazwa kwenye dini?piga nyeto kijana.Khaa Tena huko so ntakuwa nimepotea kabisa? Sitakuwa tofauti na aliye fanya?
Nafikiri sasa mjadala huu ufungwe, post karibu mia hakuna aliyetaja madhara ya wazi, kizuri ni kuwa kuna ushuhuda wa wa2 wachache na wamefanya vizuri hawakupat madhara yoyote. Wengine pia wachache wamekupongeza, wengi wanaleta porojo tu hapa. Kumbuka wengi sana wameharibika tayari, na wanatamani wange abstain maisha yao' lkn too late fo them, wanataka muende wote. Hapana' wewe ni mtu mzima sasa, amua kuendelea au kujivuruga, lkn kumbuka u wil be respönsible fo your own decisions whether good or bad. Kama ni maamuzi mazuri utafaidi wewe, kama ni mabaya ni wewe pia, hakn hata m1 hapa jukwaani atakaye kuja kukusaidia. Kama hujaelewa, Think again! Gud night
Wakicharuka hawa ndo wanakuwa kina baba mama makusanya kila mwamke wake au la kuna sababu nyingi zinazo wafanya wanaume wasiingage na mapenzi kwanza mkono sweta ivo anaogopa kuchekwa afu pili kibamia yaan under 4inch yan hapo lazima ufike hata miaka sitin mzee bila kugonga ngouz.
Doctor!
Nina umri wa miaka 23, toka nizaliwe sijawahi kukuuana na mwanamke, lakini sometime napata hamu sana ya kufanya mapenzi na kuna wakati sperm huwa zinatoka kwa wingi hasa nitakapofikiria tu kufanya mapenzi. Kinachonifanya nisifanye mapenzi ni kufuata agizo la Mungu toka kwenye biblia kuwa haturuhusiwi kufanya mapenzi mpaka tutakapooa ama mwanamke atakapoolewa.
SWALI: Kuna madhara yoyote kwangu kiafya na kimaisha kwa kufikisha umri huu pasipokufanya mapenzi?? Na kama kuna madhara ni madhara yapi hayo??
Nategemea kupata majibu ya kihekima zaidi.
AHSANTENI.
Hizo zikizidi zina kawaida ya kuvuka mpaka na kuhamia nyuma,ikitokea hivyo ntafute kwa namba hii 0784960519 ntakusaidia dogo!