Sijawahi kufanya mapenzi toka nizaliwe!!

duh wanawake wengi tunahamu ya kufunza watu kama nyie

upo wapi jamani?
 
Hongera Mkuu kama kweli umeweza kuwa kama ulivyo.
In short hakuna madhara kiafya!
 
Hizo zikizidi zina kawaida ya kuvuka mpaka na kuhamia nyuma,ikitokea hivyo ntafute kwa namba hii 0784960519 ntakusaidia dogo!
 
Usiogope young mæn! Mi nilianza nikiwa na 27 years na ckupata madhara yoyote yale in that time....xo mwamini muumba wako na keep on waiting til u decide to hav ha!

Ur my telescope bro.
 
Wakicharuka hawa ndo wanakuwa kina baba mama makusanya kila mwamke wake au la kuna sababu nyingi zinazo wafanya wanaume wasiingage na mapenzi kwanza mkono sweta ivo anaogopa kuchekwa afu pili kibamia yaan under 4inch yan hapo lazima ufike hata miaka sitin mzee bila kugonga ngouz.
 
Nafikiri sasa mjadala huu ufungwe, post karibu mia hakuna aliyetaja madhara ya wazi, kizuri ni kuwa kuna ushuhuda wa wa2 wachache na wamefanya vizuri hawakupat madhara yoyote. Wengine pia wachache wamekupongeza, wengi wanaleta porojo tu hapa. Kumbuka wengi sana wameharibika tayari, na wanatamani wange abstain maisha yao' lkn too late fo them, wanataka muende wote. Hapana' wewe ni mtu mzima sasa, amua kuendelea au kujivuruga, lkn kumbuka u wil be respönsible fo your own decisions whether good or bad. Kama ni maamuzi mazuri utafaidi wewe, kama ni mabaya ni wewe pia, hakn hata m1 hapa jukwaani atakaye kuja kukusaidia. Kama hujaelewa, Think again! Gud night
 
Nafikiri sasa mjadala huu ufungwe, post karibu mia hakuna aliyetaja madhara ya wazi, kizuri ni kuwa kuna ushuhuda wa wa2 wachache na wamefanya vizuri hawakupat madhara yoyote. Wengine pia wachache wamekupongeza, wengi wanaleta porojo tu hapa. Kumbuka wengi sana wameharibika tayari, na wanatamani wange abstain maisha yao' lkn too late fo them, wanataka muende wote. Hapana' wewe ni mtu mzima sasa, amua kuendelea au kujivuruga, lkn kumbuka u wil be respönsible fo your own decisions whether good or bad. Kama ni maamuzi mazuri utafaidi wewe, kama ni mabaya ni wewe pia, hakn hata m1 hapa jukwaani atakaye kuja kukusaidia. Kama hujaelewa, Think again! Gud night

thanx thanx sana.
 
Wakicharuka hawa ndo wanakuwa kina baba mama makusanya kila mwamke wake au la kuna sababu nyingi zinazo wafanya wanaume wasiingage na mapenzi kwanza mkono sweta ivo anaogopa kuchekwa afu pili kibamia yaan under 4inch yan hapo lazima ufike hata miaka sitin mzee bila kugonga ngouz.

Khaa! Thanx look kweli umelook
 
Hakuna madhara yoyote kijana mimi nilivumilia kwa lengo la kutimiza malengo yangu.Nimeoa nikiwa na 29yrs lakini amini napiga gemu kwa uhakika goli moja mke wangu anafika kileleni mara tatu mpaka mara tano.
 
Doctor!
Nina umri wa miaka 23, toka nizaliwe sijawahi kukuuana na mwanamke, lakini sometime napata hamu sana ya kufanya mapenzi na kuna wakati sperm huwa zinatoka kwa wingi hasa nitakapofikiria tu kufanya mapenzi. Kinachonifanya nisifanye mapenzi ni kufuata agizo la Mungu toka kwenye biblia kuwa haturuhusiwi kufanya mapenzi mpaka tutakapooa ama mwanamke atakapoolewa.
SWALI: Kuna madhara yoyote kwangu kiafya na kimaisha kwa kufikisha umri huu pasipokufanya mapenzi?? Na kama kuna madhara ni madhara yapi hayo??

Nategemea kupata majibu ya kihekima zaidi.
AHSANTENI.

big up sana jombaaaa pomoja sanaaa.

Mie na zaidi ya miaka 7 sija duu na now nina miaka 25 na lengo langu ni kufikisha miaka 10 ndipo nioe.
Mkuu madhara yapo mengi sana mi ni muhanga nishakutana nayo ila mazara yenyewe siyo ya kuumwa.
Kiukweli mim huwa na enjoy sana na hali hii ya ugumu na kujiona bonge la dume.
Ukweli ugumu umenikaa mpaka ikafika stage nikahama home na kwenda kuish camp na washikaji siyo siri mi na wanawake haziivi kabisaa.
Mi zoezi ndiyo kila kitu kwangu ndiyo starehe yangu na ndiyo wife wangu kwa sasa kuhusu kugongana huwa na enjoy sana niotapo ndoto naduu.
Ni kipumzika zoez siku mbili tu lazima ningonoke ndotoni.
Unajua %kubwa wanataman sana hali hii.
Usiogope kutokwa na manii mie mara kibao nikiwa nakojoa some time nazenyewe zinatoka.
 
Hizo zikizidi zina kawaida ya kuvuka mpaka na kuhamia nyuma,ikitokea hivyo ntafute kwa namba hii 0784960519 ntakusaidia dogo!

vipi mkuu wew USHAPUMULIWA KICHOGONI mala ngapi.wew unatembea na pampas vip ile dozi ya kupigwa bomba ulimaliza ??
 
Back
Top Bottom