Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doctor!
Nina umri wa miaka 23, toka nizaliwe sijawahi kukuuana na mwanamke, lakini sometime napata hamu sana ya kufanya mapenzi na kuna wakati sperm huwa zinatoka kwa wingi hasa nitakapofikiria tu kufanya mapenzi. Kinachonifanya nisifanye mapenzi ni kufuata agizo la Mungu toka kwenye biblia kuwa haturuhusiwi kufanya mapenzi mpaka tutakapooa ama mwanamke atakapoolewa.
SWALI: Kuna madhara yoyote kwangu kiafya na kimaisha kwa kufikisha umri huu pasipokufanya mapenzi?? Na kama kuna madhara ni madhara yapi hayo??
Nategemea kupata majibu ya kihekima zaidi.
AHSANTENI.
Was joke mkuu, nimei deleteMmmmmh!... Is that a joke o what?!
Kama ni joke hamishia kule tutaifuata tukiitaka.
Kama ni true facts tupe vivid examples tukianzia kitaani kwako,ambako naamini ndiko ulikosikia huo upupu. Sidhani kama wewe ni kasuku usikie then utuletee eti nasi tusikie !
..XO WHATS MEANING OF BEING A GREATER THINKER ?!
we ni mangare kweli piga kazi kijana wacha uzembe wa kufuata biblia utakufana utamu waako
Hakuna madhara ya aina yoyote ile ila utapoamua kuanza kukutana na Mwanamke hakikisha unatumia kinga ili kuepuka kuambukizwa magonjwa mbali mbali ya zinaa ikiwemo ukimwi na pia kuepuka mimba zisizotarajiwa.
Hawa wadau ni zaidi ya huyo Mungu wako? (usinichukie tafadhali najaribu tu kupata jibu la vipi unaishi)