bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,696
- 4,103
- Thread starter
- #41
thanx sana kwa ushauri wako,unajua sometime imani inaweza kukubana usifanye ki2 na ukafikiri kuwa unakupoteza kumbe inakulinda na majanga.Ni kweli imani yangu ndivyo inavyönifundisha hvyo.Lengo langu ni kujua kama kuna madhara yeyote yanazoweza kuepukika? Ili niyafanyie kazi lakini nikiwa katika the same standing?Mimi sipo huko kwenye madhara au faida, na wala sikusema amekosea kuuliza. Nilichotaka kujua ni ukomo wa imani yake kwa huyo Mungu wake anayemuamini. Kama uko serious na alichokisema ni ukweli basi kuna utani analeta au anajidanganya. Mimi angeniambia amejizuia kufanya kwa ajili ya kuepuka maradhi au maadili halafu akauliza hilo swali lake nisingemhoji kitu, lkn suala la kuniambia kwa ajili ya Mungu at the same time aniulize kama kuna madhara huo ni mzaha na huyo Mungu wake
Naamini tupo pamoja billionea.gd9t.