Sijawahi kufanya mapenzi toka nizaliwe!!

Kifupi ni hivi hakuna madhara yoyote yanaweza kukupata kama usipofanya mapenzi muda mrefu. Ila ili uweze kushinda inabidi umjue Mungu sana na kuogopa kutenda dhambi vinginevyo majaribu yatakuandama na unaweza kushindwa.

Kazana kusoma kama bado hujamaliza chuo na ujitahidi ufaulu ili upate kazi ya maana itayokupa mke mzuri maana hao wadada siku hizi hawakubali bila kazi ya maana.
 
duh hongera ndugu ss hiyo kitu mbali na kujojoa unaitumia kuanikia nguo au?
acha uoga tafuta shost uamshe shimo haliunguzi kama wanavyokutisha..........
 
Uhanga utakuua. Punguza tamaa sasa hiyo misperm inayokutoka mbona tayari ni dhambi sawa tu na ile ya kufanya kiukweli.
 
Naona viganja vyako vinadind* kila ukiona vimini
Life haina replay kijana, kula bupa kila upatapo nafasi. Mapadre wenyewe wanaoa huko ughaibuni, dini yenyewe imeletwa na mkoloni kwenye mashua.
 
Naona viganja vyako vinadind* kila ukiona vimini
Life haina replay kijana, kula bupa kila upatapo nafasi. Mapadre wenyewe wanaoa huko ughaibuni, dini yenyewe imeletwa na mkoloni kwenye mashua.

thanx kwa ushauri mzuri.
 
Kifupi ni hivi hakuna madhara yoyote yanaweza kukupata kama usipofanya mapenzi muda mrefu. Ila ili uweze kushinda inabidi umjue Mungu sana na kuogopa kutenda dhambi vinginevyo majaribu yatakuandama na unaweza kushindwa.

Kazana kusoma kama bado hujamaliza chuo na ujitahidi ufaulu ili upate kazi ya maana itayokupa mke mzuri maana hao wadada siku hizi hawakubali bila kazi ya maana.

thanx kwa ushauri mzuri but umejuaje kama mimi ni mwanachuo? Umegusa thanx indeed.
 
Naona viganja vyako vinadind* kila ukiona vimini
Life haina replay kijana, kula bupa kila upatapo nafasi. Mapadre wenyewe wanaoa huko ughaibuni, dini yenyewe imeletwa na mkoloni kwenye mashua.

Naheshimu ushauri wako thanx indeed!
 
Questioning ni namna ya kuelewa, sio lazima awe anadoubt. Na nikweli kwamba in certain circumstances abstinence inaweza kuongeza tensions, hasa kama sio ya hiyari. kwa hiyo amefanya vizuri kuuliza.
Kwa mtoa mada: Hongera sana kwa uamuzi wako wa kujichunga hadi utakapo oa.Kama ni personal choice hakuna ubaya.
But let's wait for more explanations on madhara/faida from great thinkers.

Mimi sipo huko kwenye madhara au faida, na wala sikusema amekosea kuuliza. Nilichotaka kujua ni ukomo wa imani yake kwa huyo Mungu wake anayemuamini. Kama uko serious na alichokisema ni ukweli basi kuna utani analeta au anajidanganya. Mimi angeniambia amejizuia kufanya kwa ajili ya kuepuka maradhi au maadili halafu akauliza hilo swali lake nisingemhoji kitu, lkn suala la kuniambia kwa ajili ya Mungu at the same time aniulize kama kuna madhara huo ni mzaha na huyo Mungu wake
 
Ahsante Mkuu!! Ntawezaje kujizuia/kuepuka kufanya mpaka mda utapofika nikiwa na mke wangu.Mazingira ni magumu sana, na hizi sperm huwa zinajaa mpaka zinatoka zenyewe hiyo nayo c ni kama automatic musterburtion ambayo nayo nasikia nidhambi pia?

wel, fanya yafuatayo! Mche Mungu, soma maandiko, acha kula vyakula vyenye protin nyingi kama nuts and alike, fanya mazoezi na ukimaliza shule Oa! Kuhusu mazingira kuwa magumu, inakuwaje uish miaka 23 leo uone mazingira ni magumu? You just about to get there, never let it go brother! Kwani wewe hupendi kumtii Mungu wako? Na utimize safari yako kwa ushindi? Hakuna safari nyepesi na usitegemee itakuwa rahisi, you have to fight! Especialy wakati hu dunia iko up side down! Never intertain the evil mind. Hakuna kitu kinaitwa automatic musterbution, ni njia Muumba aliyoiweka, very natural! Siku hz imekuwa ni mtindo wa maisha kujaribu na kujaribiwa(kuonjana). Hongera umekuwa kinyume na mtindo hu wa maisha, you can stil be the winner. Tamati: siku nyingine usiulize jambo kama lina madhara au la baada ya kuanza kulitekeleza. Also never underestimate the power of God in ur life, he wanted to just to be like that because he wanted to, for our own good!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom