The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Ndugu zangu wanaJF,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 sasa,ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini,nimekuwa kwenye uhusiano na mabinti tofauti tofauti tangu nilipokuwa form2,tatzo langu ni kwamba cjawah kuaminika hata siku moja,ki ujumla mimi ni mtaratibu sana na huwa sipendi kuongea na wadada mara nyingi,huwa nikiwa na mpnz nampenda kwa dhati,tatzo baada ya muda ataanza kuonesha dalili za kutoniamini,mwishowe uhusiano unavunjika,tafadhali naomba ushaur wenu nifanyeje ili niaminike kwa huyu wa sasa make nae keshaanza kulaumu namchakachua eti,nawasilisha!