Sijaona Mwanamke aliyenifaa..... Afunga ndoa akiwa na miaka 99

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
803
wadau wa Jf mambo vp? Kuna bwana anaitwa Gilbert Raia wa marekani mwenye miaka 99 ameishangaza dunia kwa kuoa mara yakwanza akiwa na umri wa miaka 99. Mzee huyo alikuwa mwanajeshi wa marekani aliyepigana vita ya pili ya dunia. Amemuoa mama mjane kikongwe mwenzake wa miaka miaka 86, wote wakiwa hawana uwezo wa kutembea zaidi ya kutegemea wheelchair. Alipo ulizwa na waandishi wa habari ni kwa nin ameoa akiwa na umri huo mzee huyo alijubu kuwa "KTK MAISHA YAKE HAJAWAHI KUMPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI YA DHATI, MWANAMKE WA AINA YAKE, AMENGOJEA KWA MUDA MREFU KUMPATA MWENYE MAPENZI YA KWELI, CHAGUO LA MOYO WAKE. AMEOA KWA KUWA HUYO MKEWE (Kikongwe wa 86yrs) ANAMAPENZI YA DHATI KWAKE!"

Mmh wataalamu wa mapenzi na ushauri nasaha wa MMU mwasemaje kuhusu hilo?
 
thats greatttt
du kumbe wake wa kuoa walipotea tangu 1940s?


siku izi magumash ndo weng...
 
Alikuwa anatafuta the perfect one, ambaye naweza kusema hayupo kwa kweli! Usijashangaa, baada ya muda ukasikia divorce ya babu na bibi...mhhhh!!!
 
mi siwashangai hao maana na mm nahis nitaolewa nikiwa mzee maana sijamuona wa kwel mpaka sasa
 
Nyingine nimeishuhudia jana kipindi cha chereko TBC,mzee wa miaka 94 na bibi wa miaka 80,mzee ni mwanasheria wa shirika la reli na mkewe bado ni mwanafunzi anachukua masters UDOM,safi saaana!
 
Nyingine nimeishuhudia jana kipindi cha chereko TBC,mzee wa miaka 94 na bibi wa miaka 80,mzee ni mwanasheria wa shirika la reli na mkewe bado ni mwanafunzi anachukua masters UDOM,safi saaana!
Duh! Hii kali mkubwa!
 
Back
Top Bottom