Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
wadau wa Jf mambo vp? Kuna bwana anaitwa Gilbert Raia wa marekani mwenye miaka 99 ameishangaza dunia kwa kuoa mara yakwanza akiwa na umri wa miaka 99. Mzee huyo alikuwa mwanajeshi wa marekani aliyepigana vita ya pili ya dunia. Amemuoa mama mjane kikongwe mwenzake wa miaka miaka 86, wote wakiwa hawana uwezo wa kutembea zaidi ya kutegemea wheelchair. Alipo ulizwa na waandishi wa habari ni kwa nin ameoa akiwa na umri huo mzee huyo alijubu kuwa "KTK MAISHA YAKE HAJAWAHI KUMPATA MWANAMKE MWENYE MAPENZI YA DHATI, MWANAMKE WA AINA YAKE, AMENGOJEA KWA MUDA MREFU KUMPATA MWENYE MAPENZI YA KWELI, CHAGUO LA MOYO WAKE. AMEOA KWA KUWA HUYO MKEWE (Kikongwe wa 86yrs) ANAMAPENZI YA DHATI KWAKE!"
Mmh wataalamu wa mapenzi na ushauri nasaha wa MMU mwasemaje kuhusu hilo?
Mmh wataalamu wa mapenzi na ushauri nasaha wa MMU mwasemaje kuhusu hilo?