wamasai walemavu wapo lakini hawatoki Arusha wanatoka chalinze ndio hawo wanazunguka mjini na ni hatari kwa kuchafua mazingira sababu kubwa ni kutokuwa na makazi maalumu mara nyingi wanajisaidia kwenye mifuko ya plastic na kuitupa hovyo
...baada ya kuzaliwa wanatupwa.Ukubwani hawawezipata ulemavu?Mi pia sijawahi kuwaona
Nafikiri huwa wanawatupa tu baada ya kuzaliwa
Yawezekana pindi wanapozaliwa wanawamaliza hapohapoMi pia sijawahi kuwaona
Nafikiri huwa wanawatupa tu baada ya kuzaliwa
Mimi nimemuona bubu yupo pale kiteto mjini kibaya nifundi mzur wa kusuka nywereWakuu hivi hii jamii ya wenzetu Ni kwamba imebalikiwa? Au?
Je! Wewe ulishawahi kukutana na Masai mwenye ulemavu!!???
Hata Mumasai mwenye ndevu hayupoWakuu hivi hii jamii ya wenzetu Ni kwamba imebalikiwa? Au?
Je! Wewe ulishawahi kukutana na Masai mwenye ulemavu!!???