Ndugu zangu hwa muda mrefu nimekuwa najiuliza hili kabila la Kimasai kutokuwa na watu waliozaliwa na ulemavu wa aina yoyote ile,sijui ni siri gani ambayo inawafanya kutokuwa na walemavu na si tu walemavu wa viungo hata wale wa ngozi,sijui kama wenzangu nanyi mmeweza kuliangalia hilo kwa mapana na marefu.
Nakaribisha mjadala,
Nakaribisha mjadala,