neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,843
- 2,117
hi ndo picha yangu
Mkuu mwisho wa kupokea maombi lini..? (deadline). Tusijepoteza muda ku update CV zetu kumbe wewe ushapokea maombi ya kutosha na hupokei tena lol.
hi ndo picha yangu
ha ha ha ha ha ha kadanganya umma kweli muonekano wake hauna ushuhuda kama ana miaka hiyoHivi wabongo tutaacha lini kusema uongo? Mkuu B.O.G umesema una miaka 23 lakini navyokuona mkuu yawezekana uko kwenye 29 au 30 hivi!! naomba ufafanuzi kidogo kuhusu umri wako kiukweli, kabla sijakuunganisha na dada yangu, yeye anazo sifa zote ulizosema na za ziada siwezi kuzisema.
Hajasema kama yeye ni wa Kike ua wa Kiume, its weird,anataka 17!!!!Watumie picha yako..maana watoto wa kike wanapenda 'sura'...
Kwa kifupi kila kitu kitawekwa wazi , nitakuwa nikiwafahamisha kila hatua ambayo nitakuwa nimefika. na mpaka sasa nimepokea sms 1 kwenye mobile yangu ambayo ilikuwa ikinipa pole , juu ya yale ninayo kabiliana na yo hapa.Mkuu mwisho wa kupokea maombi lini..? (deadline). Tusijepoteza muda ku update CV zetu kumbe wewe ushapokea maombi ya kutosha na hupokei tena lol.
1st Shemeji mwambie dada kwamba mie sio jounalist au mwandishi wa magazeti ya majira na wala sijawahi kushiriki kwenye mashindano ya uandishi. 2nd mwambie hata nikiandika kwa peni mwandiko utafikiri bata kapita 3rd mwabie dada sipendi mapenzi ya karatasi (barua) wala ya simu (sms) maana ni ya uongo. 4rh mwambie dada kuwa nime yakata kata maandishi sababu watu wana kazi nyingi za kufanya hawawezi soma habari yangu 2 all the day. 5th Dada kasema mie ni shalobaro ( mtu aneye bring bring au kujipenda ,kutokana na nilivyo ambiawa na jirani yangu) , mwabie hapo kapata 10% sababu toka nizaliwe sijawahi vaa kata K , Nina pea moja ya kiatu safari boot ingawa sasa imechoka na sandols za ngozi , simu ninayotumia ni Nokia 1202 ambayo nimeiwekea betry sa simu yangu ya sasatel ambayo nimeifunga kwa kamba ya kiatu, Ukinipigia hata niwe na nani nitaitoa na kupokea sababu I DO`NT CARE. 6th Nikweli sina nyuma , ila mbele ninapo maana mshahara wangu wa mwezi unazidi kima cha chini. WABEJA MWANA WANI!!!Brother B.O.G, Firstly, please note your writing depicts your character and thoughts - Jinsi ulivyoandika kimikato, na lugha mbovu, Sidhani kama nitamruhusu dada yangu akusogelee na pia nitamkubalia dada yangu kama atasema wewe ni sharobaro au msela asiye na mbele wala nyuma. Kama unatafuta mwenza wa kweli andika kwa lugha unayoilewa na kwa ufasaha.
haaaah haaah dah mwana B.O.G nakupa respect mkuu, anyway nitaku pm nikupe maujanja, wote ma men so sina jelous me ntakupa maujuz ya kweli uweze kufanikisha lengo lako.1st Shemeji mwambie dada kwamba mie sio jounalist au mwandishi wa magazeti ya majira na wala sijawahi kushiriki kwenye mashindano ya uandishi. 2nd mwambie hata nikiandika kwa peni mwandiko utafikiri bata kapita 3rd mwabie dada sipendi mapenzi ya karatasi (barua) wala ya simu (sms) maana ni ya uongo. 4rh mwambie dada kuwa nime yakata kata maandishi sababu watu wana kazi nyingi za kufanya hawawezi soma habari yangu 2 all the day. 5th Dada kasema mie ni shalobaro ( mtu aneye bring bring au kujipenda ,kutokana na nilivyo ambiawa na jirani yangu) , mwabie hapo kapata 10% sababu toka nizaliwe sijawahi vaa kata K , Nina pea moja ya kiatu safari boot ingawa sasa imechoka na sandols za ngozi , simu ninayotumia ni Nokia 1202 ambayo nimeiwekea betry sa simu yangu ya sasatel ambayo nimeifunga kwa kamba ya kiatu, Ukinipigia hata niwe na nani nitaitoa na kupokea sababu I DO`NT CARE. 6th Nikweli sina nyuma , ila mbele ninapo maana mshahara wangu wa mwezi unazidi kima cha chini. WABEJA MWANA WANI!!!
hii imenivunja mbav,dah!kweli humu kazi.Unakasoro gani unataka Mvumilivu?Duh nanoti namba zako nikizikuta kwenye simu za wadogo zangu nitakuchapa...lol
Waooo.. Nimependa ulichoandika hapo juu..1st Shemeji mwambie dada kwamba mie sio jounalist au mwandishi wa magazeti ya majira na wala sijawahi kushiriki kwenye mashindano ya uandishi. 2nd mwambie hata nikiandika kwa peni mwandiko utafikiri bata kapita 3rd mwabie dada sipendi mapenzi ya karatasi (barua) wala ya simu (sms) maana ni ya uongo. 4rh mwambie dada kuwa nime yakata kata maandishi sababu watu wana kazi nyingi za kufanya hawawezi soma habari yangu 2 all the day. 5th Dada kasema mie ni shalobaro ( mtu aneye bring bring au kujipenda ,kutokana na nilivyo ambiawa na jirani yangu) , mwabie hapo kapata 10% sababu toka nizaliwe sijawahi vaa kata K , Nina pea moja ya kiatu safari boot ingawa sasa imechoka na sandols za ngozi , simu ninayotumia ni Nokia 1202 ambayo nimeiwekea betry sa simu yangu ya sasatel ambayo nimeifunga kwa kamba ya kiatu, Ukinipigia hata niwe na nani nitaitoa na kupokea sababu I DO`NT CARE. 6th Nikweli sina nyuma , ila mbele ninapo maana mshahara wangu wa mwezi unazidi kima cha chini. WABEJA MWANA WANI!!!
sasa c umpe support!Waooo.. Nimependa ulichoandika hapo juu..
sasa c umpe support!
haaah haaah, realy hard guy. Ok hapo umefunguka mazima big up man, utapata mtoto mkali tu na mwenye mkwanja wa kutosha tu wala ucjal abt ur salary kuwa ndogo wala simu kufunga na kamba n.k,1st Shemeji mwambie dada kwamba mie sio jounalist au mwandishi wa magazeti ya majira na wala sijawahi kushiriki kwenye mashindano ya uandishi. 2nd mwambie hata nikiandika kwa peni mwandiko utafikiri bata kapita 3rd mwabie dada sipendi mapenzi ya karatasi (barua) wala ya simu (sms) maana ni ya uongo. 4rh mwambie dada kuwa nime yakata kata maandishi sababu watu wana kazi nyingi za kufanya hawawezi soma habari yangu 2 all the day. 5th Dada kasema mie ni shalobaro ( mtu aneye bring bring au kujipenda ,kutokana na nilivyo ambiawa na jirani yangu) , mwabie hapo kapata 10% sababu toka nizaliwe sijawahi vaa kata K , Nina pea moja ya kiatu safari boot ingawa sasa imechoka na sandols za ngozi , simu ninayotumia ni Nokia 1202 ambayo nimeiwekea betry sa simu yangu ya sasatel ambayo nimeifunga kwa kamba ya kiatu, Ukinipigia hata niwe na nani nitaitoa na kupokea sababu I DO`NT CARE. 6th Nikweli sina nyuma , ila mbele ninapo maana mshahara wangu wa mwezi unazidi kima cha chini. WABEJA MWANA WANI!!!
nashukuru , uwezo wa kununua cm nzuri ninao bali ciwezi kutembea na Iphon mfukoni wakati sina hata kochi la kukalia wageni wangu pia sio kwamba natafuta zali eti mtu anitoe hapana am responsible prsn. I need sm1 2gather we can make things hapen. then kutokana na watu wanao nizunguka +friends ni kwamba am 23 but am leaving like a man of 5o`s.haaah haaah, realy hard guy. Ok hapo umefunguka mazima big up man, utapata mtoto mkali tu na mwenye mkwanja wa kutosha tu wala ucjal abt ur salary kuwa ndogo wala simu kufunga na kamba n.k,
kinacho matter ni real mwana. All the best mkuu.
Wana janvi hizi ni picha zangu zikionyesha stages tofauti , kwanzia udogoni li akina dada muweze kuona mtoto atakaye tokana na mimi anaweza fananaje. pia nime ambatanisha na vyeti mbali mbali vya vuo ambavyo nimesha pitia. kuna picha nime zi sahau ila nita zi upload kesho morning.Picha si issue kwani maisha siyo sura lakini waweza weka picha zaidi ya moja kuelezea maisha yako..sio unatuwekea picha ya mmarekani sharobaro wa kijiweni uwanja wa fisi..Manzese..
Nam support 110%... Jamaa muwazi kupita kiasi..Jaribu kufanya alichofanya yeye .. Kila lakheri B.O.G.. Kwa namna hii utampata kimwana Muda si mrefu...sasa c umpe support!
1st Shemeji mwambie dada ...
mmm.. Ampate nani? Hizi ni effect za kuvamia mitandao bila kujua effect zakeNam support 110%... Jamaa muwazi kupita kiasi..Jaribu kufanya alichofanya yeye .. Kila lakheri B.O.G.. Kwa namna hii utampata kimwana Muda si mrefu...
hongera dogo kwa kujianika kiasi hiki hii inaonyesha kuwa hujajua maana ya forums ..forums sio facebook.Wana janvi hizi ni picha zangu zikionyesha stages tofauti , kwanzia udogoni li akina dada muweze kuona mtoto atakaye tokana na mimi anaweza fananaje. pia nime ambatanisha na vyeti mbali mbali vya vuo ambavyo nimesha pitia. kuna picha nime zi sahau ila nita zi upload kesho morning.1. mwaka 1996 2. mwaka 1998 nikiwa stdn 2 3. mwaka 2005 nikiwa form 2 4. chet cha basic technitian nilichopokea 2009. 5. ni matokeo yangu ya form 4 in 2007. 6. nilikuwa awarded certificate honor in debate nilipo maliza form 4. 7 . kuna chuo cha computer nilisoma pindi niko form 3 mwaka 2006. 8 .nilihudhulia semina iliyo husu watoto wenye mtindio wa ubongo. 9. curently
hapo umenifurahisha mkuu...kuna dada yangu yupo pale corner bar ntakupatia1st Shemeji mwambie dada kwamba mie sio jounalist au mwandishi wa magazeti ya majira na wala sijawahi kushiriki kwenye mashindano ya uandishi. 2nd mwambie hata nikiandika kwa peni mwandiko utafikiri bata kapita 3rd mwabie dada sipendi mapenzi ya karatasi (barua) wala ya simu (sms) maana ni ya uongo. 4rh mwambie dada kuwa nime yakata kata maandishi sababu watu wana kazi nyingi za kufanya hawawezi soma habari yangu 2 all the day. 5th Dada kasema mie ni shalobaro ( mtu aneye bring bring au kujipenda ,kutokana na nilivyo ambiawa na jirani yangu) , mwabie hapo kapata 10% sababu toka nizaliwe sijawahi vaa kata K , Nina pea moja ya kiatu safari boot ingawa sasa imechoka na sandols za ngozi , simu ninayotumia ni Nokia 1202 ambayo nimeiwekea betry sa simu yangu ya sasatel ambayo nimeifunga kwa kamba ya kiatu, Ukinipigia hata niwe na nani nitaitoa na kupokea sababu I DO`NT CARE. 6th Nikweli sina nyuma , ila mbele ninapo maana mshahara wangu wa mwezi unazidi kima cha chini. WABEJA MWANA WANI!!!