we nawe umalaya tu unakusumbua, angalia we unamiaka 27 tu unaendekeza ngono namna hii? utafika miaka 40 kweli? Ukimwi utakumaliza mapema ndugu yangu. kaa fikiria tena upya jinsi ya kujenga maisha yako sio kufikiria ngono. By the way kama umedhamiria hilo watafute malaya wanaojiuza watakumalizia hamu na virobotu juu
Afu atakuwa anayasomea juu kwa juu, mana naona kaingia mitinikha..kama ni majibu kayapata.
Hello GREAT THINKERS mi ni mvulana mwenye umri wa miaka 27 na sijao ,nina tatizo moja kwani kila msichana au mpenzi nilie naye anifikishi kileleni,kwani nikimpiga moja tu yuko hoi,nifanyeje kwani tangu niwe na mpenzi sijampata wa kunikata kiu ya mapenzi,kwani nitajisikia raha sana nikimpata wa kumpiga kama bao 4 hivi,nisaidieni jamaani