Evarm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 1,934
- 1,400
Teh teh teh, Nimeipenda hiyo staili yenu!
Kaa naye chini mkeo na umuulize vizuri imekuwaje leo yeye kwenda kunyolewa huko! Hapo utajua ukweli na uongo wa mkeo.
Usianze tu kuhisi vibaya, kuna wengine hawapendi kuwa na nywele wakikaribia kwenye siku zao za hedhi hivyo akaamua awahi kuziondoa mapemaa.
But big up guys, its a new lesson to me.
Kaa naye chini mkeo na umuulize vizuri imekuwaje leo yeye kwenda kunyolewa huko! Hapo utajua ukweli na uongo wa mkeo.
Usianze tu kuhisi vibaya, kuna wengine hawapendi kuwa na nywele wakikaribia kwenye siku zao za hedhi hivyo akaamua awahi kuziondoa mapemaa.
But big up guys, its a new lesson to me.