Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
hivi kwa nini huyu JK ni failure kwa kila kitu? hivi inakuwaje mimi mpaka dakika hii sijahesabiwa? au Chadema hatuhesabiwi?
Kwani JK ndio anahesabu watu?hivi kwa nini huyu JK ni failure kwa kila kitu? hivi inakuwaje mimi mpaka dakika hii sijahesabiwa? au Chadema hatuhesabiwi?
Kwani JK ndio anahesabu watu?
hivi kwa nini huyu JK ni failure kwa kila kitu? hivi inakuwaje mimi mpaka dakika hii sijahesabiwa? au Chadema hatuhesabiwi?
na tahimin imeshatolewaa tayari!tumefanikiwa kwa 80% hivyo ambao bado hautwahitajii sana,maana makadilio yetu ilikuwa ni 60%.tumevuka lengo!!!!hivi kwa nini huyu jk ni failure kwa kila kitu? Hivi inakuwaje mimi mpaka dakika hii sijahesabiwa? Au chadema hatuhesabiwi?
Kama hujahesabiwa nenda ofisi za serikali ya mtaa utahesabiwa huko na huo ndiyo utaratibu uliotolewa kwa wale ambao hawatafikiwa.
Kama hujahesabiwa nenda ofisi za serikali ya mtaa utahesabiwa huko na huo ndiyo utaratibu uliotolewa kwa wale ambao hawatafikiwa.
Acheni kulalamika kama wale majamaa, chukueni hatua. Imekwishatolewa tamko kwamba kama hujahesabiwa nenda kwa mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa. Sasa ninyi mmechukua hatua gani kabla hamjaja humu JF?
Sielewi mtazamo wako ni upi hasa sambamba na haki yako ya msingi: kuna mantiki gani makarani kulipwa pesa za walipa kodi kwa ajiri ya kupita nyumba kwa nyumba kuhesabu watu alafu kwangu wasipite tena kwa makusudi kama si uzembe alafu leo uniambie niende kwa M/kiti wa serikali za mitaa kupanga foleni!!!!!.Acheni kulalamika kama wale majamaa, chukueni hatua. Imekwishatolewa tamko kwamba kama hujahesabiwa nenda kwa mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa. Sasa ninyi mmechukua hatua gani kabla hamjaja humu JF?