BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
ni mtoto pekee wakiume katika familia yangu...dada zangu wameolewa...
juzi kati bimkubwa ameugua na akaenda kukaa kwa mmoja wa dada zangu,..
nimebaki mm na housegirl tuuuu niko karibu nae saaana!!!ila CJAGUSA...sasa ni mwezi wa nne!!
ndugu, jamaa, na marafiki wanasema ni lazima nitakua na mahusiano ya kimapenzi na dada wa ndani
so imekaaje hapo?nimalizie tu ili isemeke vizuri?na bimkubwa anataka kumfukuza kazi!!!
(ofcoz nilikua na mpango mkakati!!lols)
juzi kati bimkubwa ameugua na akaenda kukaa kwa mmoja wa dada zangu,..
nimebaki mm na housegirl tuuuu niko karibu nae saaana!!!ila CJAGUSA...sasa ni mwezi wa nne!!
ndugu, jamaa, na marafiki wanasema ni lazima nitakua na mahusiano ya kimapenzi na dada wa ndani
so imekaaje hapo?nimalizie tu ili isemeke vizuri?na bimkubwa anataka kumfukuza kazi!!!
(ofcoz nilikua na mpango mkakati!!lols)