i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
East African common visa haitufai kwani kuna mambo mengi sisi kama Tanzania hatujajizatiti..kama mambo ya earlines etc.
why William ameshindwa kujibu swali langu anadai eti mambo ya woga yamepitwa na wakati? anadai eti inabidi tuwe nayo ili tuwe na free movements...sijaelewa naomba mwenye kunielewesha vizuri anipe nondo zaidi
why William ameshindwa kujibu swali langu anadai eti mambo ya woga yamepitwa na wakati? anadai eti inabidi tuwe nayo ili tuwe na free movements...sijaelewa naomba mwenye kunielewesha vizuri anipe nondo zaidi