Rosweeter
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,171
- 4,432
- Thread starter
- #21
hata baadhi ya wadada wanayo sana... na sipendi wanaovuta sigara kwenye public areas kama kwenye mikusanyiko ya watu wengi ama kwenye daladala ilhali kwa wengine ni keeeeeero!!
Sasa usiombe huyo mvutaji awe mpenzi wako, alafu anakuomba dend... utakimbia,