Tabia ya wasichana kuomba omba vocha
"Honey, simu yangu haina credit,
naomba uniongezee..........."
Ningekuwa kidume ningewajibu "Pambaf....... kamuombe baba yako"
Wewe ni tabia gani inakukerai?
Tabia ya wasichana kuomba omba vocha
"Honey, simu yangu haina credit,
naomba uniongezee..........."
Ningekuwa kidume ningewajibu "Pambaf....... kamuombe baba yako"
Wewe ni tabia gani inakukerai?
Tabia ya mistrust... kila saa maswali ya uko wapi? uko na nani? unafanya nini?.... kwangu siipendi
Mi sipendi tabia ya mtu kila mara "naomba simu yako nimpigie mtu fulani nina shida naye" kila mara? wakati naye ana simu. afadhali aniombe hela akanunue vocha. Vilevile sipendi mtu anibip kwa shida yake mwenyewe!!!
Mi napenda toa na nina moyo wa kusaidia. Asiponiomba vocha naona kama nalack kitu fulani hivi.
Haswaa kwa wanaume, ukimwambia niko kwa shoga yangu anakwambia nipe niongee nae, ukimwambia niko nyumbani peke yangu anakwambia washa tv, zima washa tena, weka tbc, haya hamishia clouds........ mambo gani haya