Sihitaji kura za wafanyakazi (T-shirt Ziko Mitaaani)

Naona hizi T-shirt za Sihitaji kura za wafanyakazi ziko mitaani
Wapi zinapatikana? Mwenye Taarifa Jamani...

2dwatk2.jpg


Picha na Saidi

Dr. Slaa weka hii katika kampeni strategy ya Chadema. Wewe Vaa Nazihitaki kura za watanzania wote, uwe na nyingine imeandikwa nazihitaji kura za wafanyakazi wote. Hii ni silaha na wadau mjitikeze msaidie printing kwa wingi zivaliwe siku ya kupiga kura.

 
Labda na hayo maandishi na mchoro/picha yangeandikwa kwa ubunifu zaidi...I mean bila picha yake maana kwa asiyejua kusoma anaweza kufikiri anasifiwa kwa kazi nzuri aliyoifanya. My imagination - picha ya mbayuwayu (ndege) na maandishi hayo!

Na wewe! Mbayuwayu tena? Wazidishe ukubwa wa picha na maandishi hata kipofu ayaone! Toleo jipya toeni picha kubwa zaidi.
 
Hapa wote tunajidai tuko kishapu,Iringa, Ilala etc.
Lakini vikianza virungu ndio tunakuja kujua kumbe waliokuwa wanashabikia wao wako miles and miles na tukiwa wakimbizi huko wao wanaanza kutucheka. Tusiwe tunapeana mawazo yanayoweza kuzua virungu halafu siku hiyo wengine mkawa mnarudi nyumbani mnakunywa biere sisi tuko Keko,mashujaa wetu wa Pemba wananielewa kwenye hilo.Ushujaa wa kina Mkwawa walio nao hapa ni wachache:crying:

:becky:, mimi natamani watu wote waikumbuke hii kitu aise.
 
..nadhani t-shirt ziwe na rangi za CCM[kijani au manjano] ili kusisitiza kwamba maneno hayo ya dharau na kuudhi yalisemwa na kiongozi wa CCM.

..pia yawepo matangazo ya kampeni za kisiasa redioni ambayo yatakuwa yanamnukuu JK na hizi kauli zake za hovyo-hovyo.

NB:

..kuna ile kauli aliyoitoa kwamba wanafunzi wasichana wakiruhusiwa kurudi masomoni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa darasani. kwangu mimi hiyo ndiyo kauli ya mbaya kuliko zote alizopata kutoa JK.
 
..nadhani t-shirt ziwe na rangi za CCM[kijani au manjano] ili kusisitiza kwamba maneno hayo ya dharau na kuudhi yalisemwa na kiongozi wa CCM.

..pia yawepo matangazo ya kampeni za kisiasa redioni ambayo yatakuwa yanamnukuu JK na hizi kauli zake za hovyo-hovyo.

NB:

..kuna ile kauli aliyoitoa kwamba wanafunzi wasichana wakiruhusiwa kurudi masomoni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa darasani. kwangu mimi hiyo ndiyo kauli ya mbaya kuliko zote alizopata kutoa JK.

mmmh! Mpaka hii! Zingine mnamzushia bana!
 
Inapaswa kutengenezwa nyingine inayosema "Watanzania ni Wafuata Upepo" pia!

Labda na hayo maandishi na mchoro/picha yangeandikwa kwa ubunifu zaidi...I mean bila picha yake maana kwa asiyejua kusoma anaweza kufikiri anasifiwa kwa kazi nzuri aliyoifanya. My imagination - picha ya mbayuwayu (ndege) na maandishi hayo!

Nafikiri ingekuwa vizuri maandishi ya "Watanzania ni Wafuata Upepo" yangewekwa nyuma ya hiyo T-Shirt. Na iweke "X" kubwa nyekundu across the picture kuonyehsa kwamba hafai (hii inaweza kusaidia wale wasiojua kusoma).
 
Heheeee, Mh Dk Slaa Karibu Ikulu. Mie ni mfagizi!!!


Na ile kauli ya 'Watanzania ni wadokozi'

Mnakumbuka Hotuba wakati wa ufunguzi wa Hoteli ya Snow Crest? alisema hoteli nyingi zinaajiri wageni kwa sababu watanzania ni wadokozi.

Ukweli ni kuwa watanzania wanalipwa ujira mdogo sana na hawana pa kusemea kwa sababu makampuni hayo binafsi yanachangia ccm wakati wa kampeni.
 
hii ni wazi kuwa sisi wananchi tulio wengi tunaochangia kukuza uchumi wa taifa hili akuna anayetujali, so u think what next..................................:confused2:
 
Mkuu Mpambalyoto,
Mie sitengenezi kanga wala T-shirt. Vijana wangu wanatoa tu PLAN ya T-shirt iweje na mtu yeyote anaweza kuchukua hiyo plan na kutengeneza. Kwa mtu yeyote anayetaka basi ninaweza kuwa ninatengeneza kubwa zaidi ila inabidi niwe na picha yenye Pixels kubwa ili aki-print basi picha iwe kwenye good quality.
Mkuu harakati nzuri, tafadhali kanga zisisahaulike. Naomba hizo bidhaa zenye kauli mbofu mbofu za muungwana...mimba ni kiherehere, sijui kwa nn Tz ni masikini, sihitaji kura zenu nk zisiwekwe picha ya mgombea au chama chochote ili watu wasio na itikadi za kisiasa (floating votes) na wanaharakati waweze kuvutiwa nazo. Pia itasaidia kuweza kuzivaa siku ya uchaguzi
 
Kuna makosa kidogo. La muhimu siyo picha. ila la muhimu ni MANENO.

Inabidi uyafanye yawe makubwa zaidi. Nitumie link ya hiyo picha na ntawapatia vijana hapa waibalance vizuri ili kuwe na uwiano yaani maneno yawe walau 1/3 ya ukubwa wa picha.
Hii nayo imekaaje??
 
UTANUNUA FULANA 12,000......JE BAADA YA UCHAGUZI UTAWEZA KUIVAA? ni kajiswali tu!!!!
 
Back
Top Bottom