sihitaji kuolewa je ni tatizo?

Status
Not open for further replies.
usifanye maamuzi ukiwa katika hali ya kisirani. Utakuja juta mbeleni, inavyoonekana (psycho) umekata tamaa na sasa unafanya maamuzi ya kukomoa bila kujua unajikomoa mwenyewe...sidhani kama kuna mwanamama anapenda kuwa single parent, hutokea tu bahati mbaya. Pia wafikirie hao watoto, je wewe umelelewa na wazazi wote? Ungependa wanao walelewe na mzazi mmoja? Tafiti zinaonyesha kuwa kukosa malezi ya wazazi wote huleta mapungufu kwenye mahusiano baadae.
Hebu jipange vizuri mbona utampata tu....
 
usifanye maamuzi ukiwa katika hali ya kisirani. Utakuja juta mbeleni, inavyoonekana (psycho) umekata tamaa na sasa unafanya maamuzi ya kukomoa bila kujua unajikomoa mwenyewe...sidhani kama kuna mwanamama anapenda kuwa single parent, hutokea tu bahati mbaya. Pia wafikirie hao watoto, je wewe umelelewa na wazazi wote? Ungependa wanao walelewe na mzazi mmoja? Tafiti zinaonyesha kuwa kukosa malezi ya wazazi wote huleta mapungufu kwenye mahusiano baadae.
Hebu jipange vizuri mbona utampata tu....
sijakata tamaa kama unavyofikiria wewe, nimetafakari then nikachukua hatua, kuna wimbi linalo wasumbua
wasichana wengi kwakua hajaolewa hawezi kusonga mbele kimaisha kama vile kuzaa, kujenga, nk.
Wanasubiri waje waolewe matokeo yake unakuta mtu kafikisha miaka 38 hajaolewa na matatizo yameshaanza kwenye mfumo wa uzazi
mimi nafanya kazi hosp naona jinsi wadada wenye umri kuanzia 34yrs wanasumbuliwa na mauvimbe kwenye vizazi na
hawajawahi kuzaa wala kubeba mimba kisa hawajaolewa bado, kingine kilicho nihamasisha ni dada
mmoja ana 37 anaishi kwao yaani hajawahi kutoka kwa wazazi wake nani bikra kajakutolewa uvimbe kwenye
kizazid dokta akamwambia abebe mimba fasta maana mwisho wake ni kizazi kutolewa ilikua ni mwaka jana mwaka huu kaja tena uvimbe umekua inabidi atolewe mwishoe kizazi kitatolewa, anadai hajapata wa0kumuoa ndio azae maana amejitunza akitegemea kuolewa sasa umri huo kuza bila baba aibu.
Binafsi nilishajipanga nikifikisha 30yrs sina haja ya kuolewa tena nazaa nahatimae malengo yangu
yametiamia am very happy. Wadada wanaoona kuolewa dili waendelee kusubiri hizo ndoa uchwara za siku hizi. 4












































0
 
Binafsi nilishajipanga nikifikisha 30yrs sina haja ya kuolewa tena nazaa nahatimae malengo yangu yametiamia am very happy

dah, huu uzi wako unaukoroga kweli... so malengo yametimia tayari? ushazaa na boifrendi au?
 
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!

wewe umeshakuwa skrepa na tumaini la kuolewa limeshapotea,usijipe matumaini hapa kwa nguvu ya ngada!
 
sijakata tamaa kama unavyofikiria wewe, nimetafakari then nikachukua hatua, kuna wimbi linalo wasumbua
wasichana wengi kwakua hajaolewa hawezi kusonga mbele kimaisha kama vile kuzaa, kujenga, nk.
Wanasubiri waje waolewe matokeo yake unakuta mtu kafikisha miaka 38 hajaolewa na matatizo yameshaanza kwenye mfumo wa uzazi
mimi nafanya kazi hosp naona jinsi wadada wenye umri kuanzia 34yrs wanasumbuliwa na mauvimbe kwenye vizazi na
hawajawahi kuzaa wala kubeba mimba kisa hawajaolewa bado, kingine kilicho nihamasisha ni dada
mmoja ana 37 anaishi kwao yaani hajawahi kutoka kwa wazazi wake nani bikra kajakutolewa uvimbe kwenye
kizazid dokta akamwambia abebe mimba fasta maana mwisho wake ni kizazi kutolewa ilikua ni mwaka jana mwaka huu kaja tena uvimbe umekua inabidi atolewe mwishoe kizazi kitatolewa, anadai hajapata wa0kumuoa ndio azae maana amejitunza akitegemea kuolewa sasa umri huo kuza bila baba aibu.
Binafsi nilishajipanga nikifikisha 30yrs sina haja ya kuolewa tena nazaa nahatimae malengo yangu
yametiamia am very happy. Wadada wanaoona kuolewa dili waendelee kusubiri hizo ndoa uchwara za siku hizi. 4












































0

hayo mauvimbe ni mapills wanayogonga. We sema tu una matatizo ya kisaikolojia na hujitambui.
 
dah, huu uzi wako unaukoroga kweli... so malengo yametimia tayari? ushazaa na boifrendi au?
sijazäa bado ila kabebi tayari kanacheza tumboni, am very happy after raw nilipanga nasikia raha sana, sasa hivi màisha yangu yamekamilika
najiona mwanamke katika wanawake.
 
sijazäa bado ila kabebi tayari kanacheza tumboni, am very happy after raw nilipanga nasikia raha sana, sasa hivi màisha yangu yamekamilika
najiona mwanamke katika wanawake.

umeamua kumtega jamaa kwa style hiyo?
 
sijazäa bado ila kabebi tayari kanacheza tumboni, am very happy after raw nilipanga nasikia raha sana, sasa hivi màisha yangu yamekamilika
najiona mwanamke katika wanawake.

unajiona mwanamke kati ya wanawake? Before ulikuwa unajionaje mama kijaho?
 
unajiona mwanamke kati ya wanawake? Before ulikuwa unajionaje mama kijaho?
mwanzoni ñilikua natamani kuolewa ili nizae, ila nimekuja jigundua nilichokua nahitaji ni mtoto na sio kuolewa,
najiona mwanamke maana sasahivi nikikaa kwenye jamgi natambulika mimi ni mama na hakuna atakae niuliza umeolewa? Tofauti kubwa ati!
 
sijakata tamaa kama unavyofikiria wewe, nimetafakari then nikachukua hatua, kuna wimbi linalo wasumbua
wasichana wengi kwakua hajaolewa hawezi kusonga mbele kimaisha kama vile kuzaa, kujenga, nk.
Wanasubiri waje waolewe matokeo yake unakuta mtu kafikisha miaka 38 hajaolewa na matatizo yameshaanza kwenye mfumo wa uzazi
mimi nafanya kazi hosp naona jinsi wadada wenye umri kuanzia 34yrs wanasumbuliwa na mauvimbe kwenye vizazi na
hawajawahi kuzaa wala kubeba mimba kisa hawajaolewa bado, kingine kilicho nihamasisha ni dada
mmoja ana 37 anaishi kwao yaani hajawahi kutoka kwa wazazi wake nani bikra kajakutolewa uvimbe kwenye
kizazid dokta akamwambia abebe mimba fasta maana mwisho wake ni kizazi kutolewa ilikua ni mwaka jana mwaka huu kaja tena uvimbe umekua inabidi atolewe mwishoe kizazi kitatolewa, anadai hajapata wa0kumuoa ndio azae maana amejitunza akitegemea kuolewa sasa umri huo kuza bila baba aibu.
Binafsi nilishajipanga nikifikisha 30yrs sina haja ya kuolewa tena nazaa nahatimae malengo yangu
yametiamia am very happy. Wadada wanaoona kuolewa dili waendelee kusubiri hizo ndoa uchwara za siku hizi. 4

Nimekupata mdada kumbe unafanya hedging against worst case scenario.....basi kwanini usiweke option zote wazi....yaani wakati unatafuta hao watoto, jaribu kuwa positive na utafute na mtu ambae anaweza kukuwowa.....pia mdada haya mambo ya kuolewa yanataka initiatives kidogo....zama hizi sio za kusubiri tu muoaji/muolewaji atokee inabidii kumuandaa kwa kutengeneza mazingira......yaani unakuwa wife material hivi......na kama umemuona ambae unatamani awe baba wa wanao fanya jitihada za ku-display malovee ya maana ambayo ni endelevu......I know brothers kibao mtaani wanahaha kupata jiko.....hata huyo utakaezaa nae jitahaidi awe na mwelekeo mbele ya safari upweke ukiwazidi muwowane usifanye masihara single parent all life.....

Pia inamaana utazaa mtoto wa kwanza na T, wapili na S....bado wabahati mbaya na R....hiyo itakuwa promiscous......
Anzisha 'PROJECT SAKA HUSBAND' uone kama matokeo hayajajipa.....

Yawezekani unakwama kwasababu utafuta perfect man ambae kimsingi hayupo hao unaowaona wakovizuri kwa nje na ndoa zao...humo ndani kuna full purukushani mapungufu kibao isipokuwa wanavumiliana na kushepiana na kusonga baada ya muda wanakuwa sambamba so usichague sana......maana hamna anaeweza kuumba wa kwake...
 
Dada hili ni tatizo. nashauri mtafute SOCIAL WORKER akufanyie Counceling ili uwe vizuri kisaikolojia. KIMSINGI HIOI NI TATIZO.
 
Dont force it.if u want to remain single for da rest of ur life.JUST BE URSELF,SINGLE LADY.
 
najiona mwanamke maana sasahivi nikikaa kwenye jamgi natambulika mimi ni mama

kwa maelezo yako ya awali mtoto ndiyo kwanza anachezacheza tumboni... so bado hujawa mama unless tayari umejifungua..
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom