Mkuu saidia jamvi kutaja maendeleo ya Siha yaliyo letwa na Mwanri kwa mujibu wa taarifa zako ili tukate mzizi wa fitina tafadhali mno .Haya uwanja ni wako jimwage
Mh. Mwanri kwa kushirikiana na wanaSiha ameweza kuwatetea wananchi na kuhakikisha barabara, maji, umeme, hospitals, shule za msingi na secondary nk zinaboreshwa na kujengwa. Lakini kubwa kuliko lote ambalo linakuja na investments kubwa toka serikalini na mashirika ni kufanya jimbo la Siha kuwa WILAYA YA SIHA 2005