Sign 100 za Mnyika

Wingu

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,318
401
Jamani hivi Mnyika kafikia wapi kwenye kuzitafuta hizo sign za kuleta mswada.Au kaamua kuzipotezea
 
Hoja ilishawasilishwa na Jaffu na serikali leo imesema itaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuweka hifadhi wakati ikiandaa mswaada wa dharura kufanya marekebisho
 
Bunge limekubali kujadiliwa kwa hoja hio iliyowasilishwa na bwana Jafu mbunge wa ccm, imeona CDM wakiwasilisha watajipatia masifa kwa Umma
 
wazee wa magamba walishaidaka mapema wakaifanya ya kwao kujikosha. walishituka itaingia kwenye ajenda za m4c iongeze credit. ninachojiuliza ni je, haya marekebisho yalipitaje? si ni hizihizi taasisi zinazosimamiwa na serikali ya gambaz ndo zilihusika???? iweje leo tena hawahawa magamba ndo wanajifanya kwenda eti! kuwasikiliza wafanyakazi wanasema nini. ina maana walitarajia watanzania watakubali tu kuchinjwa kikondoo? shame on you gambaz!
 
Bunge limekubali kujadiliwa kwa hoja hio iliyowasilishwa na bwana Jafu mbunge wa ccm, imeona CDM wakiwasilisha watajipatia masifa kwa Umma


KUMBE!!!
hii mambo ya miaka 55 ni lazima iondolewe... kinyume na hapo wanataka ugomvi.. haiwezekani mninyime hela yangu na mng'ang'anie kuwakopesha kina manji
 
Huu mchezo tutauona mwisho wake. Wameupitisha mswada kwa bwembe, na Jk akausaini kichwa kichwa bila kuusoma! Leo hao hao walioupitisha eti wanakwenda kuujadili kwenye kikao cha tisa!
 
996727137.jpg


Wazee wanaandamana, Walimu Wanaandamana, Madaktari wanaandamana, Wanafunzi vyuoni wanaandamana, Watoto wa shule za msingi wanaandamana

MKULIMA NAYE AKIANDAMANA BASI GANDO LIMEKATIKA
 
996727137.jpg


Wazee wanaandamana, Walimu Wanaandamana, Madaktari wanaandamana, Wanafunzi vyuoni wanaandamana, Watoto wa shule za msingi wanaandamana

MKULIMA NAYE AKIANDAMANA BASI GANDO LIMEKATIKA[/QUOTE ( Jamani Tanzania sasa hawa Wazee Jamani si wangeketi nyumbani kula pensheni yao tu na kutuombea baraka jamani?? Angalia wanavyoteseka. Mungu atusaidie!!
 
Life expectancy 45 years: mafao mpaka 55 years, nani afaidi hela ya kustaafu?
Wabunge wengi wanaingia wakiwa na 50+ so kwao siyo issue...
 
wazee wa magamba walishaidaka mapema wakaifanya ya kwao kujikosha. walishituka itaingia kwenye ajenda za m4c iongeze credit. ninachojiuliza ni je, haya marekebisho yalipitaje? si ni hizihizi taasisi zinazosimamiwa na serikali ya gambaz ndo zilihusika???? iweje leo tena hawahawa magamba ndo wanajifanya kwenda eti! kuwasikiliza wafanyakazi wanasema nini. ina maana walitarajia watanzania watakubali tu kuchinjwa kikondoo? shame on you gambaz!

Kimsingi ni bunge ( wabunge wote na vyama vyao) ndo lilichemka.
 
Bado sielewi nini kinaendelea na hili suala la mafao, kwa upande wangu mazingira ya ajira TZ si muafaka kwa kutokuwa na fao la kujitoa japo wapo wanosisitiza tuige chi nyingine zinafanyaje naona pia ni bora kuangalia na hali halisi katika hizo nchi.
 
wazee wa magamba walishaidaka mapema wakaifanya ya kwao kujikosha. walishituka itaingia kwenye ajenda za m4c iongeze credit. ninachojiuliza ni je, haya marekebisho yalipitaje? si ni hizihizi taasisi zinazosimamiwa na serikali ya gambaz ndo zilihusika???? iweje leo tena hawahawa magamba ndo wanajifanya kwenda eti! kuwasikiliza wafanyakazi wanasema nini. ina maana walitarajia watanzania watakubali tu kuchinjwa kikondoo? shame on you gambaz!

Muda umefika kwa mpambanaji wetu John Mnyika kuacha kutangaza kwanza hadharani nia yake ya kuwasilisha hoja binafsi,kila anapotaka kufanya hivyo...niliposikia hoja hii imewasilishwa na jaffu wa ccm wakati mnyika toka ijumaa iliyopita alikuwa akizungumzia nia yake ya kuiwasilisha,na kusema angeiwasilisha jumatatu ya wiki hii..nimetambua kuwa ccm ni shimo la maji taka..tuendelee kuwashangaza kule kule ndani,haina haja kutangaza kwanza.
 
Back
Top Bottom