Sigara

Kyalow

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,548
2,571
Nisaidieni wakuu hivi mshawahi ona hizi bidhaa zikisafirishawa? kama vile bia,soda,fedha na vitu vingine hua vinasafirishwa aidha kwa magari au njia nyingine yoyote lakini sijawahi kuona gari la sigara
 
Wewe nawe mfukunyuku ile mbaya. Sigara ni fedha (very liquid current asset)..wewe ulitaka zisafirishwe kwa matarumbeta?
 
Wanatumia magali madogo ka pickup ila inatengenezewa body imala kwani nikama pesa vile na ulinzikmkali wa askali.
 
Nisaidieni wakuu hivi mshawahi ona hizi bidhaa zikisafirishawa? kama vile bia,soda,fedha na vitu vingine hua vinasafirishwa aidha kwa magari au njia nyingine yoyote lakini sijawahi kuona gari la sigara


interesting questions, sigara ni very expensive at a lower volume and that needs a tight security. one small pickup off sigara can worth millions of money, we transfer them in small full covered pickups.
 
Na kwa kuongezea, hairuhusiwi kufanya branding kwa kuvutia watu kuvuta sigara. Na style waliojichagulia ndio hiyo. Wana pickup zimefunikwa nyuma kama zile za konyagi, nyeupe ila ubavuni kuna label ya tccl. Kama hupo makini hutoona
Wanatumia magali madogo ka pickup ila inatengenezewa body imala kwani nikama pesa vile na ulinzikmkali wa askali.
 
Rasilimali nyingine ya Taifa inahujumiwa. Walibinafsisha Sigara kwa wazungu halafu wahindi halafu wajapani sijui sasa hivi ni ya nani!wakwepa kodi halali wakubwa hawa kama kule kwenye mahoteli na sekta ya madini. Mulika mwizi men!!!
 
cigarettes smoking is dangerous to your health

What makes cigarette smoking dangerous to health is NICOTINE. Certain foods we eat almost daily contains nicotine. What shall we do?
[h=2]Nicotine Rich Foods[/h]When doctors and health experts tell people to refrain from smoking cigarettes and tobacco, it is because they are concerned about one main ingredient responsible for a number of diseases; nicotine. It is a toxic substance that has been labeled harmful to one's health. However, it is not only found in tobacco products, but also in some foods and drinks that we ingest on a daily basis. Here is a list of everyday foods that have high nicotine content, mostly found in foods from the nightshade or Solanaceae family.
1. Tomato: As hard as it is to believe, tomatoes do contain some amounts of nicotine. It has a net weight of 7.1 to 7.3ng/g. What this translates to is about 7.1 ng of nicotine for each gram a tomato has. However, it is said that the nicotine content reduces when the tomato ripens and it contains a nicotine alkaloid known as tomatine.
2. Potato: This is a vegetable that contains a nicotine alkaloid known as solanine, mostly found in the peel. A potato has an average weight of 15ng/g but goes to about 42.8ng/g if the potato is green or still budding while the ripe ones contain as little as 4.3ng/g net weight. If you get pureed potatoes, then the amount shoots up to about 52ng/g. Such high nicotine content is said to have fatal implications on human health.
3. Eggplant: Also known as aubergines, these contain about 100ng/g of this harmful substance. This may be the highest nicotine reading next to tobacco products. This loosely translates to the fact that about 10 kilograms of eggplants could contain the nicotine content of a cigarette.
4. Teas: As much as tea is one of the healthiest beverages around, it also contains some amount of nicotine. Green and black tea, whether caffeinated or decaf, does contain some nicotine. Black tea, for example, has content of about 100ng/g of nicotine. Instant tea, as compared to natural brewed tea, may have a nicotine reading going up to 285ng/g.
5. Peppers and Capsicums: These food flavorings contain alkaloids known as solanine and solanadine, much like the other nightshade family variations. You will find that peppers contain solanine levels of about 7.7 to 9.2 mg per 100 grams of food serving.
6. Cauliflower: Although it is not part of the nightshade family, it does contain its own share of nicotine. Cauliflower has nicotine standing of about 16.8ng/g.
 
Sigara ni kama noti katika mkoba au pochi ikiwa pochi ingetembezwa kama wacheza mduara au vidole juu hakika ingeishia kwa wazee wa kazi. Ngoja nikueleze yaliyomo katika sigara.
1. Tax Stampu huchukuliwa TRA kwa ulinzi kama inavyosafirishwa pesa toka BoT kwenda Mbeya ama Mwanza. Hii ni kwasababu tax stemp yenyewe ni hela tayari.
2. Sigara yenyewe, hakua ubishi kwamba bidhaa hii inapendwa sana japo ina madhara makubwa sana kwa afya ya binadamu. Mapenzi ya wavutaji wa sigara hayako kwingine bali ni kwenye NOCOTINE. Kuna nicotine katika bidhaa nyingi sana tutumiazo kama vile; majani ya chai, kahawa, cocoa, soda kama cocacola na pepsi na vingine vingi. Jaribio la kwamba mtumiaji amekuwa addicted na vitu hivi mathalani chai, ni pale anaposikia maumivu ya kichwa kwa kukosa kile akipendacho.
Madhara mengine ambayo yapo sambamba na sigara ni baadhi ya malighafi ambayo hutumika kutengenezea kichungi. Kuna malighafi inaitwa PLASTSIZER, ni aina ya kimiminika kama maji ambacho ni very corrosive katika sement na kiatu cha ngozi halisi ya mnyama. Kimiminika hiki kikimwagwa katika sakafu ya sement ndani ya saa 24 mahala husika hutoke shimo kubwa kulingangana na jinsi kimiminka hicho kilivyotawanyika. Vivyo hivyo katika kiatu cha ngozi ikiwa kiatu kitamwagikiwa kimiminika hiki basi unashauriwa kukimbilia dukani na kwenda kununua kingine kwani ndani ya saa 24 utakuwa huna kiatu mbaya zaidi hutajua kiatu chako kimeenda wapi maana hakuna mabaki utakayoyaona. Sasa swali ni kwamba kichungi hikiki huwa sambamba na mdomo wakati wa uvutaji siagara ukiendelea, je usalama upo hapo. TAFAKARI CHUKUA HATUA; ACHA KUVUTA SIGARA KARIBU NA YEYOTE YULE KWANI UNAMDHURU SANA.
 
Na kwa kuongezea, hairuhusiwi kufanya branding kwa kuvutia watu kuvuta sigara. Na style waliojichagulia ndio hiyo. Wana pickup zimefunikwa nyuma kama zile za konyagi, nyeupe ila ubavuni kuna label ya tccl. Kama hupo makini hutoona

Kwa Tz bado haijakatazwa mkuu kufanya branding wanajiandaa tu. Pia kwa sababu za kiusalama. Na sio pick up tu, kuna canter pia. mara nyingi hizo pick up unazoziona kwa wingi hazina kitu, au zina sigara chache sana hazizidi milioni. Always kunakuwa na askari mwenye silaha wakati gari ikiwa na sigara
 
Rasilimali nyingine ya Taifa inahujumiwa. Walibinafsisha Sigara kwa wazungu halafu wahindi halafu wajapani sijui sasa hivi ni ya nani!wakwepa kodi halali wakubwa hawa kama kule kwenye mahoteli na sekta ya madini. Mulika mwizi men!!!

sasa hivi inamilikiwa na JAPAN TOBACCO INTERNATIONAL yenye makao makuu switzerland. Kampuni hii kwa Tz ndio huongoza kwa kulipa kodi, ikishuka sana namba 2 au 3
 
Wanatumia magali madogo ka pickup ila inatengenezewa body imala kwani nikama pesa vile na ulinzikmkali wa askali.

Magari madogo yanayosambaza sigara si mengi. Yanayosambaza sigara in most cases ni canter ambazo hazina nembo yoyote zaidi ya jina la kampuni ubavuni, na wakati wote huwa na ulinzi mkali. ukiona pick up na haina mlinzi aliyepambwa na silaha, kama wewe ni mporaji wala usijisumbue. Hizo pick ndogo ni mara chache sana zinasambaza sigara kwa mawakala. zinakuwa na sigara chache sana ambazo thamani yake hazifiki hata milioni.
 
sasa hivi inamilikiwa na JAPAN TOBACCO INTERNATIONAL yenye makao makuu switzerland. Kampuni hii kwa Tz ndio huongoza kwa kulipa kodi, ikishuka sana namba 2 au 3

Safi sana kwa maelezo mazuri mafupi na yanayoeleweka, wapo wengine hubeza kwamba walipakodi wakubwa ni TBL hiyo yaweza kuwa kweli lakini ukweli ni palepale kwamba ikiwa TCC wanekupatia katoni moja ambayo kule TCC wanaiita Shipping Case na wewe wa TBL ukapewa katoni moja ya Safari hapo wewe wa TBL utakuwa na 28,000/= wakati yule wa TCC atakuwa amebeba 1,000,000/= begani mwake.
 
Back
Top Bottom