Sifurahishwi na utendaji wa mkuu wa nchi - Shyrose Bhanji

Naona maandalizi ya tamasha la SUGU mbeya yameanza na promo za shemeji yetu, safi SUGU mpaka kieleweke.
 
Hata mimi sifurahishwi na tabia yake ya kujitia anajua kila kitu na kiburi chake achana na tabia yake mbaya ya mahusiano ya kingono aliyokuwa nayo, Shy-rose hana lolote jipya la kuwapa wananchi ni kwa vile tu kakosa ubunge na malalamiko yako yametupwa na wale jamaa wamesmtumia na yupo katika list sasa amekuwa used ndo anapiga kelele
Tabia mbaya ya mahusiano yake kingono ni maisha yake binafsi!Hivi wanasiasa au viongozi wa juu tulionao au hata sisi jf hapa tukisema tuchunguzane maishe yetu kimahusiano wangapi ambao utakuta kawa na mtu mmoja tu tangu aanze mahusiano hadi kufikia umri wa Shy Rose?Jadili mada husika sio mambo yake ya chumbani.Hata hamjui kipi kiongelewe wapi!
 
Aaaah me siafiki kwamba aje CDM,asije akatushibuda bule kama UJIRA WA MWIHA.
203013_100002227126081_7533167_n.jpg
 
mimi nafikiri shyrose ana haki ya kutoa maoni yake na kuongea ukweli hata kama alishiriki kikamilifu kumpigia debe kikwete kwenye uchaguzi mkuu uliopita. haileti maana kwa vile alishiriki kampeni iwe kigezo kwamba leo akae kimya ilhali anaona chama chake kinaelekea pabaya. sidhani kuna ukweli wowote kwamba kwa vile amekosa viti maalum ndiyo maana ameanza kuchonga. Nilivyofuatilia uchaguzi wa wabunge huyu dada alikuwa anagombea ubunge kupitia jimbo la kinondoni na hakugombea viti maalum. Hii ni sababu tosha kabisa kwamba anajiamini ndio maana alikwenda jimboni tofauti na wanawake wengine ambao licha ya kuwa na uwezo na sifa za kwenda majimboni lakini waliingilia mgongo wa viti maalum. Kwa hili hata kama alishindwa kwenye kura za maoni lakini bado anastahili sifa za kipekee...hii pekee ni ushindi lazima tufahamu hilo. si kwamba namsifia bure ila penye ukweli lazima tuseme na si kuponda tu muda wote.

Shy-Rose endelea kusimamia unachokiamini toa maoni yako ukisaidie chama chako ili uwe tofauti na wengine. Usijali wanakusemaje wewe songa mbele...
 
Kutoridhika na utendaji wa JK ni kwa Watanzania wote akiwemo hata Riz1. Siyo swala la Shyrose pekee Ila watu wanakosa platform tu ya kujieleza
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Kutokukubaliana mawazo na mtu sio sababu yakuhama chama unless one has a personal agenda like "Lyatonga Mrema, Shibuda etc". Kupingana kimtazamo kupo; na kwenye demokrasia wengi wataaamua wazo lipi/mtizamo upi ni sahihi. Baada ya hapo ni kuelekeza nguvu ku-support maamuzi ya wengi (Make the decision work). CCM wamempitisha incompetent individual (JK), hawana tena jinsi zaidi yakumpa mawazo yaku-survive mpaka 2015 or else surrender. CCM inatakiwa kujipanga/kuzaliwa upya ili iwe na watu makini wanaoweza ku-argue constructively bila mipasho na ushabiki. We need to have active people in both parties (NCCR, CCM, CUF, & CDM); with this we can guarantee to have a serious, productive Parliament.

Unstopable,

Kuna watu hawaelewi mana ya demokrasia.Kuna watu wanadhani kanuni na maadili ya chama yanafuta dhana ya matumizi ya democracy.Ni lazima wajue free opinions flow under the shed of maral and principle bases.Shy-Rose amejaribu sana kutoa mawazo yake ndani ya chama chake.Tunakumbuka aliposema ndani ya vikao vya chama point blank kwamba Makamba is a Problem.Viongozi wa kisiasa Tanzania hawataki kuambiwa ukweli wakikutana na watu ambao ni daring utaanza kuwasikia wanalalamika mara oh kavunja miiko ya chama,kavunja kanuni kuongea nje ya vikao na abradacabrada nyingi.Tanzanian Democracy is a scam.

JK is Incompetent. I and you will make a better president than any of these JK because, we are legacy driven not greed driven.

If any serious guy around will Condemn Shy-Rose's comment without a solid arguinment then I am sorry for Tanzania, our troubles have just started. Again,The problem with Tanzania is not Kikwete ,it is Tanzanian politicians .Unless a complete sweep is done ,Tanzania will forever remain backwards.

Nadhani Colin Powell aliyekuwa secretary of state in United States kupitia Republican alivyomu-endorse Obama(Democrats) kwenye uchaguzi mkuu,angekuwa mwanachama wa chama cha siasa Tanzania angekuwa amefukuzwa muda mrefu.

It is simply democracy at play where everyone is entitled to his own opinion and choice.it would be unhealthy for everyone to endorse one person.There should be room for diverse opinions and opposition.It Is good for Democracy.Bravo Shy,Ndiyo maana ilikuwa ngumu kupita na kugombea jimbo la kinondoni mwaka jana.Huko ni fitina na ujanja ujanja tu,Democracy is a scam there.Nikupe Moyo tu hawa madikteta wanaotumia mwamvuli wa demokrasia kwa miavuli iliyotoboka tutawashinda tu.We will defeat them
 
Hongera shy kwa kutoa maoni yako huyu mkuu wa kaya hata mimi sifurahishwi naye kabisa na utendaji wake na asipokuwa makini hiki chama kitamfia mikononi mwake 2015...potezea wote wanaokwambia umeanza kuongea kwa vile umekosa ubunge. Kwa sisi tunaokufahamu tunajua kwamba kusema ukweli ndio jadi yako na huwa huogopi mtu pale panapotakiwa kusema ukweli.

Ukweli unafahamika kabisa kwamba shyroz alichakachuliwa ubunge wake kwani walijua angekuwa mwiba mkali kwa viongozi wasiowajibika na kumuweka yule muuza madawa ya kulevya idd azzani zungu ambaye naye sasa hivi wanajuta kumuweka kwenye nafasi hiyo.

Dada rose ni jembe tofauti na wanaume wanaobebwa kama wakina january makamba ambao wamebebwa tangu foriegn, ikulu, jimboni, unec na eti sasa mjumbe wa cc? Kwa kipi kikubwa alichofanya ndani ya hichi chama? Au kwa vile mzee wake alikuwa katibu mkuu wa hicho chama? Pamoja na kubebwa bado hajawika kabisa tofauti na shy amejibeba mwenyewe!
 
Uyu dada naona aanze mapema kujipanga kwenye masuala ya uraia wanaweza mchomolea uko!
 
mwalimu alikuwa na vision kubwa sana na nchi hii na kauli za kuhamasisha wakati ule ziliendana na vitendo but unfortunately kwa sasa misemao au kauli kama hizi si rahisi kutekelezeka kwani wananchi wameshakata tamaa kutokana na nchi inavyoendeshwa kwa mizengwe mizengwe...binafsi sifurahishwi kabisa na mambo yanayoendelea nchini hasa kwa kuanzia na kiongozi mkuu wa nchi ...ccm inabidi ishuke chini ikutane na wananchi wa kawaida waskie wamoni yao bila ya hivyo tutakuwa tunamwaga maji kwenye kinu...UHURU NA KAZI..!!

Shy-Rose Bhanji-Facebook

Dada Karibu sana Chadema. Kwa kauli hizi CCM watakuvua gamba muda si mrefu.

tatizo kwa Syhrose ni kuwa alijaribu sana kuukwaa uongozi kupitia CCM ikiwemo Ubunge viti maalumu na majimboni na hakufanikiwa pamoja na michangoi yake mingi.........................wapo wanaoamini ya kuwa ni mwathirika wa ubaguzi wa rangi lakini kubwa ni kuwa ndani ya CCM anaonekana hachaguliki...............................................na hizi ngebe zake watazitafsiri kuwa ..........................hazitaki mbichi hizi huku zimeiva......................
 
tatizo kwa Syhrose ni kuwa alijaribu sana kuukwaa uongozi kupitia CCM ikiwemo Ubunge viti maalumu na majimboni na hakufanikiwa pamoja na michangoi yake mingi.........................wapo wanaoamini ya kuwa ni mwathirika wa ubaguzi wa rangi lakini kubwa ni kuwa ndani ya CCM anaonekana hachaguliki...............................................na hizi ngebe zake watazitafsiri kuwa ..........................hazitaki mbichi hizi huku zimeiva......................

Nilimfuatilia sana shyrose kwenye uchaguzi alijitosa jimbo la kinondoni na siyo viti maalum...(napenda sana anavyojiamini)
 
Chadema hamtaki models majukwaani? Atakuwa tayari kuvaa magwanda huyo? Kwa vile kisha yavaa ya yale ya chukua chako mapema huenda ataridhia tu.

Mbona chadema mnaye huyu.nashukuru Mungu nimefunguliwa leo kutoka kwenye BAN kwa sababu ya huyu Dikteta wenu Saanane mbona mnamuona shujaa,mzee wa sketi.Mnafurahia kuweka picha za watu ila za kwenu sasa nitaweka.kuna kipindi mlikuwa mnaweka za nape nikasema pia nitaweka zenu.kimada wa Saanane akiwa chuo kikuu huyo hapo.Anaitwa Ashkin lengrat....akitaka aje hapa abishe.nitaendelea kuweka
203160_764821409_6193951_n.jpg

 
Akaingia kanisani kutongoza waimbaji mmoja wa kwaya wa kwaya mwanafunzi raia wa Zambia aliyekuwa anasoma masters Chuo kiku cha New Delh,viongozi wazinzi
n611531689_2026247_1993.jpg


Hako kadikteta kenu kwenye sherehe kalikuwa hakakosekani.Muone hapo kwenye kona na tsht nyeusi na huyo hawara ake aliyemtorosha kanisani wamekaa pamoja kwenye sherehe fulani na wazambia na zimbabwe.Tunazo picha zake nyingi nikisema huyu hafai ni mzinzi kuna mijitu hasa Moderators ina chuki na mimi.Mliweka picha za nape,leo mnaweka za shy-rose hakuna anayesema.bado nitaleta

n611531689_2168262_8690.jpg



 
Alipomaliza hapo baada ya huyo dada kumaliza Masters akawa kisirisiri anatoka na huyu mkenya.hawara mpya


n680240416_4844974_8690.jpg
 
mwalimu alikuwa na vision kubwa sana na nchi hii na kauli za kuhamasisha wakati ule ziliendana na vitendo but unfortunately kwa sasa misemao au kauli kama hizi si rahisi kutekelezeka kwani wananchi wameshakata tamaa kutokana na nchi inavyoendeshwa kwa mizengwe mizengwe...binafsi sifurahishwi kabisa na mambo yanayoendelea nchini hasa kwa kuanzia na kiongozi mkuu wa nchi ...ccm inabidi ishuke chini ikutane na wananchi wa kawaida waskie wamoni yao bila ya hivyo tutakuwa tunamwaga maji kwenye kinu...UHURU NA KAZI..!!



KAMA HUFURAHISHWI NA UTENDAJI WAKE WAKAZI UNAFANYA NINI HUKO MAMIIIIIIIIIIIIIIII HAMIA CDM KWA MAKAMANDA TULIOKOE TAIFA KWA PAMOJA TUNAHITAJI MIDDLE CLASS KAMA NYIE KWASANA ILITUKISEMA LEO NI MGOMO NCHI NZIMA BANK ZOTE WIZRA ZOTE TAASISI ZOTE HAZIFANYIKAZI NDIYO SERIKALI ITAJUA TUNATAKA NINI. HAMIA CDM TENA MIMI MWENYEWE NITAKUPATIA KADI
 
soon atakwenda CDM naona mwenendo wake huu watampotezea mbali


CHADEMA wanapaswa kuwa makini sana...wasije jenge tabia ya kuchukua tu kila mtu haswa wanatoka CCM...yaani wawe makini kweli katika hili. Si wanaona kinachotokea kwa Shibuda!?!?!

CHADEMA wanapaswa kuwa na utaratibu bora na wa kisomi wa kupata wanachama haswa wale watu ambao wana amini katika falsafa na itikadi za CHADEMA. La sivyo hawatakua na tofauti na CCM wanaokotezaga wanachama kwenye mikutano ya hadhara (kama CHADEMA nao wanafanya hivi, basi ningeshauri waache mara moja) bila kujali kama watu hao wanaamini au hata kufahamu falsafa na itikadi za CCM.
 
Back
Top Bottom