kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,213
mwalimu alikuwa na vision kubwa sana na nchi hii na kauli za kuhamasisha wakati ule ziliendana na vitendo but unfortunately kwa sasa misemao au kauli kama hizi si rahisi kutekelezeka kwani wananchi wameshakata tamaa kutokana na nchi inavyoendeshwa kwa mizengwe mizengwe...binafsi sifurahishwi kabisa na mambo yanayoendelea nchini hasa kwa kuanzia na kiongozi mkuu wa nchi ...ccm inabidi ishuke chini ikutane na wananchi wa kawaida waskie wamoni yao bila ya hivyo tutakuwa tunamwaga maji kwenye kinu...UHURU NA KAZI..!!
Shy-Rose Bhanji-Facebook
Dada Karibu sana Chadema. Kwa kauli hizi CCM watakuvua gamba muda si mrefu.
Shy-Rose Bhanji-Facebook
Dada Karibu sana Chadema. Kwa kauli hizi CCM watakuvua gamba muda si mrefu.