Ndugu wanajamiiforum naomba sifa za wanawake wa Kinyiramba nataka kuo huko
===================================================
Black Angel
Ndugu wana jamvi niwasalimu katika jina la yeye aliyetuumba. Mwenzenu nimeangushia moyo wangu kwa kabinti kamoja cha huko mkoani singida,kutoka kabila la wanyiramba. Sasa kabla sijachukua maamuzi yakwenda kujitambulisha kwao ningependa kujua tabia zao za asili,ili mbeleni niseje anza mwaga machozi mwanaume mimi.
===================================================
Black Angel
Ndugu wana jamvi niwasalimu katika jina la yeye aliyetuumba. Mwenzenu nimeangushia moyo wangu kwa kabinti kamoja cha huko mkoani singida,kutoka kabila la wanyiramba. Sasa kabla sijachukua maamuzi yakwenda kujitambulisha kwao ningependa kujua tabia zao za asili,ili mbeleni niseje anza mwaga machozi mwanaume mimi.