yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Unachosema kaka ni sahihi kabisa; huwezi ukatofautisha baa meid ni yupi na waofisini ni yupi na wanyumbani ni yupi? wengine wanabeba madaftari waonekane wanafunzi, na wengine wanasubiri daladala stand utadhani wanaenda kazini kumbe hakuna lolote. Yuko tayari kuazima nguo, cheni, viatu, handbag hata simu alimradi na yeye aonekane anazo. Wote huo ni uwongo.
Mwanamke wa Dar ni muongo. Akijua tu kudanganya
basi hiyo imekula kwako. Atakuwa na sura mbaya,
atakudanganya na urembo. Atakuwa
mweusi tiii atakudanganya na mkorogo.
Atakuwa na tabia mbaya, atajificha
kwenye kivuli cha kwaya.
Mwanamke wa Dar lazima awe anajua
kudanganya.